Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Affordable housing zinazokaliwa na bwanyenyez
Hiyo inakuonyesha venye mabwenyenye wako wengi KE hadi inabidi nyumba zijengwe kwa wingi ili wauziwe. Hatuishi nyumba za kurithi ukumbuke, vijana ni kujituma sio kungoja kugawiwa mali na babaako! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Sasa unataka kunifundidha kizungu tuingie darasani? Who told you that the use of that word is only limited to flight? Hivyo ndivyo ulifundishwa Mwananyamala primary?

Talking of losses, do you have any slight idea of how much ATCL has made in 'profits' since it resumed operations?
Tena hyo ni currently, sijui zama za akina ichoboy ilikuaje
20210610_121322.jpg
 
Sijasema kiswahili ni lugha ya Kenya. Nimekuuliza kama unajua historia ya lugha yenyewe
Na mm nakuuliza ikiwa kiswahili hamkitaki ni nchi gani inakiendeleza kiswahili duniani zaidi ya tanzania ?? Nitajie moja tu 😁😁😁
 
Sasa mkuu, si body builders wa mabasi mambo ya kawaida hayo, ama aliiseti peke yake bila usaidizi wowote ule from start to finish? 😂 😂 😂
Kwani master fabricator ni nani ??🤣🤣 tatizo lenu nyinyi likifanyika kenya ni sawa na likifanyika tanzania ni tatizo 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom