Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Waliipatia jina hilo la mpemba ili kumliwaza sababu alikuwa dogo wakati huo, lakini iko na errors nyingi ukiingia practical sasa, sababu hakuwa specific. Na pia many scientists before him already walikua washafanya research ju ya hiyo theory...Kabisa yani, hyo yake hta kwnye syllabus haipo![]()



Lakini alipovumbua hivo aliendeleza uvumbuzi wake ama alirudi kulala,Minakutajia watu ambao walisoma mahesabu kisawasawa,Kama Obama alifanya Mahesabu zake mpaka akijipata Ikulu Amerika Ndani,can you do That?????Mwingine akavumbua Mpesa ambayo itasaidia wengi,Yani real life sio Blablabla nyingi



