Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimecheka mpaka basi mm nilishawaambia BRT sio kama kula githeri 🤣🤣🤣
Mshaanza kuogopa the only electric brt in africa
IMG_20210610_091852.jpg
 
Mshaanza kuogopa the only electric brt in africaView attachment 1813985
Yani nimecheka kwa sauti kubwa sana na kinachonichekesha ni vile munavohangaika na BRT leo miaka mitatu ikiwatoa kamasi na kupoteza pesa za taxpayeys sasa hvi munaota ndoto za mchana 🤣🤣🤣🤣🤣

kwani leo hii mumesahau kua SGR ilikua iwe bullet na electric au 🤣🤣👇👇
89130C2D-A2BB-4816-A6FF-167CD9FCB0BA.jpeg
 
Angekuwa hauzi, angekuwa amefunga na kufanya investment nyingine ya uhakika. Lakini unaona imetoka Mobius 1, Mobius 2(1st gen), Mobius 2(2nd gen) na sahi latest in the market Mobius 3....😂 😂 😂 😂 Utaumia sana dogo! BTW, Uhuru alinunua yake kitambo sana.
Nioneshe mm mauzo ya mobius ukipata nitag mm 😁😁😁 au haina statement ya mauzo na profit

mkenya na probox ni kama kende na chupi😅😅
 
China kajaa kenya na ndio colony lake jipya kwa sasa 🤣🤣🤣 manake SGR yake, expressway yake, port ya mombasa inaelekea kua yake 🤣🤣🤣🤣 na bado na viboko juu anawatandika 👇👇👇👇

Umesahau kule mbeya vile mchina alipiga kijiji kizima kung- fu, yani mshahara ni teke la kung- fu 😂 😂 😂 👇 👇
Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
 
vijana hawana ajira, vijana wana njaa, vijana hawana ndoto za maisha 👇👇👇👇
 
Umesahau kule mbeya vile mchina alipiga kijiji kizima kung- fu, yani mshahara ni teke la kung- fu 😂 😂 😂 👇 👇
Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
Maajabu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yani nimecheka kwa sauti kubwa sana na kinachonichekesha ni vile munavohangaika na BRT leo miaka mitatu ikiwatoa kamasi na kupoteza pesa za taxpayeys sasa hvi munaota ndoto za mchana 🤣🤣🤣🤣🤣

kwani leo hii mumesahau kua SGR ilikua iwe bullet na electric au 🤣🤣👇👇
View attachment 1813990
Kwa hio hutaki tena electric brt, angalia concept hio. 👇 👇 🤣🤣🤣🤣 mtajua kutangulia sio kufika.
IMG_20210610_091936.jpg
 
Yani nimecheka kwa sauti kubwa sana na kinachonichekesha ni vile munavohangaika na BRT leo miaka mitatu ikiwatoa kamasi na kupoteza pesa za taxpayeys sasa hvi munaota ndoto za mchana 🤣🤣🤣🤣🤣

kwani leo hii mumesahau kua SGR ilikua iwe bullet na electric au 🤣🤣👇👇
View attachment 1813990
Tumeridhika na zenye ziko kwa sahi.
images (42).jpeg

1024px-Kenya_Railways_DF8B_locomotive_on_the_new_SGR_line,_06-06-2017.jpg

IMG_20210610_113012.jpg
 
Back
Top Bottom