The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Wapemba gn hao waliojaa kkoo? Unawajua wakinga?Kwn kariakoo tukisema wengi wa pemba itakua tunaleta ukabila
We kweli boya sana, kibera si imejaa wajaluo wakifuatiwa na wanubi kwn uongo
Wapemba gn hao waliojaa kkoo? Unawajua wakinga?Kwn kariakoo tukisema wengi wa pemba itakua tunaleta ukabila
We kweli boya sana, kibera si imejaa wajaluo wakifuatiwa na wanubi kwn uongo
Huu mji inaitwa California inapatikana wapi hapa duniani?Kwa mtazamo wao kuhusu plan ya Dar basi hata california ni slum, sababu na yenyewe ina mpangilio kama Dar 😅😅😅😅
Tena Dar tumeizidi california sababu eneo lenye hii plan ni dogo sana
View attachment 1808577
Hapo posta is the best view watu hupanda kupiga hapo tu
Hiyo ni sky line ya old nairobi
The Guy here agrees Nakuru city beats Arusha 🔥👏
Skyline yao ipo hivi 😆😆
Go Google karifoniaHuu mji inaitwa California inapatikana wapi hapa duniani?
Where is this city/town known as California found?
Arusha ni tourism hub kwa tz, hotels nyingi, wageni wengi na kila kitu na ndio maana cost of living ni juuNairobi ni city Inaeleweka lakini mbona arusha inakaribia cost of living ya nairobi? Hilo ndo swali?
Ni arusha gani unayozungumzia we mpuuzi.? Nakuru and kusumu combined haziwezii beat Arusha, kwenye kila kitu .. heb pitia hapa uone baadhi tu ya mitaa ya chuga

Zipambe tu waruhusiwa, ila mkijenga zingine niambie nije kuzizoom pia! ✌️Hizo ni ghorofa za kisasa, hivyo zinavyoonekana ndivyo hivyo hivyo hakuna editing hapo, ni ghorofa tamu sana kuziangalia hata with naked eyes.
Waambie wenzako wajue sasaHapo posta is the best view watu hupanda kupiga hapo tu




Nyingine hizi hapa, co posta pekeeHapo posta is the best view watu hupanda kupiga hapo tu




This is not Nakuru you idiot.Nakuru na yenyewe haijaachwa nyuma katika utajiri wa slums Kenya ilobarikiwa nao
View attachment 1809157View attachment 1809158View attachment 1809159View attachment 1809160
Na Hio Bedsitter Mmetajataja Sana Mabongolala🙄Naona Nikama iyo Ndio maisha yenu kuishi kwa Bedsitter 🤔😆Na kule watu wana dream house zao wao akili iliobakia kichwani ukiweza rent bedsitter basi ni middle class 🤣🤣 wakat hzo estates owners ni wale wale kama sio investors basi politicians
ww imagine joho familia yake walikua ni maskini kabisaa kawa governer for just 7yrs sasa hvi ni billionare mombasa yeye na familia yake wanamiliki ardhi kila kona ya mombasa 🤣🤣





Waambie wenzako wajue sasa![]()
.
