Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa mtazamo wao kuhusu plan ya Dar basi hata california ni slum, sababu na yenyewe ina mpangilio kama Dar 😅😅😅😅

Tena Dar tumeizidi california sababu eneo lenye hii plan ni dogo sana

View attachment 1808577
Huu mji inaitwa California inapatikana wapi hapa duniani?

Where is this city/town known as California found?
 
Ona skyline yao inavyochekesha View attachment 1809066
Skyline yao ipo hivi 😆😆

images - 2021-06-05T170957.713.jpeg
 
Na kule watu wana dream house zao wao akili iliobakia kichwani ukiweza rent bedsitter basi ni middle class 🤣🤣 wakat hzo estates owners ni wale wale kama sio investors basi politicians

ww imagine joho familia yake walikua ni maskini kabisaa kawa governer for just 7yrs sasa hvi ni billionare mombasa yeye na familia yake wanamiliki ardhi kila kona ya mombasa 🤣🤣
Na Hio Bedsitter Mmetajataja Sana Mabongolala🙄Naona Nikama iyo Ndio maisha yenu kuishi kwa Bedsitter 🤔😆
 
Waambie wenzako wajue sasa

Wajue hapo ndio ferry za kwenda Zanzibar zinaanzia hapo na kurudi hapo kila siku . Imagine more than 16 ferries per day. Bado zile zingine za kawaida .

Ukitoka ferry kuelekea Zanzibar na wakati wa kurudi kuna view kali sana za Dar . Nasubiria Mzizima imalize cladding ntapost hapa . Kuna view 3 za kufa mtu.

1. Azam Kilimanjaro fast ferries

IMG_8001.jpg


2. Zan fast Ferries

IMG_8002.jpg
 
Back
Top Bottom