Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo ni sector 1 tu ya forestry ina billionaires kama wote, bado hatujagusa kilimo, uvuvi, madini, viwanda, usafirishaji, ujenzi, biashara, media dadeq list ni ndefu sana

Hivi hajui kwenye uvuvi huwa tuna ndege maalum za kusafirisha samaki kutoka Lake zones kwenda mikoani daily na nyingine overseas? Kitu ambacho wao ni ndoto

Sasa kwa nini tusiwapite kwenye numbers of rich people?
The most diversified economy in East Africa is Tanzania kuna mtu anabisha?
 
Ni nchi gani hapa East Africa inafanana na huyu Punda? Kwangu mie naiona Kunyaland at its best!
E2ifGK2WQAAUv1y
 
Back
Top Bottom