The most diversified economy in East Africa is Tanzania kuna mtu anabisha?Hiyo ni sector 1 tu ya forestry ina billionaires kama wote, bado hatujagusa kilimo, uvuvi, madini, viwanda, usafirishaji, ujenzi, biashara, media dadeq list ni ndefu sana
Hivi hajui kwenye uvuvi huwa tuna ndege maalum za kusafirisha samaki kutoka Lake zones kwenda mikoani daily na nyingine overseas? Kitu ambacho wao ni ndoto
Sasa kwa nini tusiwapite kwenye numbers of rich people?


