Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
siyo kubweka mmetia haibu ,,,lazima uwe na olternative way unajirusha kizembe kama kambale unategemea nini ,,ukitumia parachutes kama soljaz lazima uwe na bag ambalo linakuwa na baloon endapo parachute ikifel ile inakuwa inakuzingira mwili mzima ukishuka chini unakuwa self na ukipata jeraha unapata kidogo tu..Hamna lolote nyinyi, Mrusi na Mchina anawazingua tu! Accidents zipo na zitaendelea kuwepo. Kazi yeyote ile iko na risks zake. Hii kazi sasa ndio ya kiume sio kukaa vijiweni na kubweka bweka!![]()
![]()
![]()
ningekuwa mkuu wa majeshi hapo kenya huyo mzembe ningemshoot kabisa na kombora huko huko juu kabla hajashuka ardhini

Unaona izo fighter Jets umeoneshwa ndizo zitawangoa Ndevu
Ebu nieleze na wale Jeshi gushi lenu wenye Wana uwana na Nyundo wakivunja matofali kwa Tumbo ya wenzao,eti Ni ukomando,Maajabu