Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania ni better mara 1,000,000,000 ya Kenya na hilo raia wote wa hizi nchi mbili wanajua, zamani Watz walikuwa wanaongopewa eti Kenya iko vzr kuliko Tz na hata Wakenya walikuwa wanaongopewa eti wao wako vzr kuliko Tz lkn kwa ss tupo dunia ya utandawazi, smartphones zimeweka kila kitu wazi pia na muingiliano wa watu wa mataifa haya mawili umeleta uwazi mkubwa, now Watz wanajivunia nchi yao na hata majirani wakija hapa wanapasifia sn cz ni tofauti kubwa mno na jinsi nchi zao zilivyo.
 
Tanzania ni better mara 1,000,000,000 ya Kenya na hilo raia wote wa hizi nchi mbili wanajua, zamani Watz walikuwa wanaongopewa eti Kenya iko vzr kuliko Tz na hata Wakenya walikuwa wanaongopewa eti wao wako vzr kuliko Tz lkn kwa ss tupo dunia ya utandawazi, smartphones zimeweka kila kitu wazi pia na muingiliano wa watu wa mataifa haya mawili umeleta uwazi mkubwa, now Watz wanajivunia nchi yao na hata majirani wakija hapa wanapasifia sn cz ni tofauti kubwa mno na jinsi nchi zao zilivyo.
Tanzania vs slums
Endelea kujipa matumaini tu mzee baba
 
kwani maisha ni gated communities pekee...?,,
mji wenu mchafu sana ,
Fuatilia thread kaka. Mwenzako kaleta picha chakavu za gated community Dodoma. Am just trying to put him in his rightful place and to remind him and every Tanzanian that we are ahead of this game

Uchafu ziko pande zote. Za Dar zimeletwa nyingi sana hapa mwishowe mnazikana
 
Itega Dodoma ni sawa na posh areas zote Nairobi

Itega huwezi kujenga nyumba bila Council kuaprove sketch yako, na huwezi kujenga nyumba ambayo sio ghorofa wala huwezi kujenga ghorofa zaidi ya 4 na huwezi huwezi kuweka roof ambayo haijawa approved by council otherwise it will be demolished 😅😅😅
 
Wanaishi eastaland swali sasa kuishi kuna maana mbili kurent au kua nyumba yako sasa hao majority ya eastland 95% wamerent 🤣🤣 ndio yale yake ukiwez kurent bedsitter tayar ushakua middle class😂😂😂😂
 
Nikuletee article? Au google mwenyewe report ya dertiest cities in 2021 na ukipata Dar mbele ya Nairobi niambie nifunge a/c Jf na ukiendelea kubisha naweka link hapa
Google is just a search engine nugu. It is not a source of anything. Kila taarifa unaleta hapa unatoa Google or those other search engines like Safari. Hata ile taarifa niliyokupa ya Forbes nilitoa Google. Tutawafundisha hadi lini?
 
Itega Dodoma ni sawa na posh areas zote Nairobi

Itega huwezi kujenga nyumba bila Council kuaprove sketch yako, na huwezi kujenga nyumba ambayo sio ghorofa wala huwezi kujenga ghorofa zaidi ya 4 na huwezi huwezi kuweka roof ambayo haijawa approved by council otherwise it will be demolished 😅😅😅
Sasa kama mtaa wa kifahari zaidi Tanzania nzima Masaki ndio kumejaa apartments mwanzo mwisho mbona unajifariji hapa? Ama unadhani hatujui Tanzania?
 
Unahangaika kweli kweli kijana na hizi picha za upande upande ukibadilisha angle lkn ukweli uko wazi na unaujua, tukiwaambia mlete residential areas km tunavyoleta cc mnaleta nyumba za wenye nazo ss Wakenya km hawa ambao ndio 90% ya nchi watakaa hapo? Wallahi Kenya ni MaviView attachment 1802527View attachment 1802529View attachment 1802530
Low-income areas kama kawaida. Ni nini mnaweza linganisha na hicho kijiji chenu apart from low-income areas za Nairobi?
 
you better shut up.. that man got a lot of money.. you should first ask what type of car he’s driving or house is living in.. hapo ni siasa tu.. hata body yake na vitu alivyovaa inaonyesha ana hela za kutosha
Mataga huezi niambia kitu. Magufala wewe.
 
Fuatilia thread kaka. Mwenzako kaleta picha chakavu za gated community Dodoma. Am just trying to put him in his rightful place and to remind him and every Tanzanian that we are ahead of this game

Uchafu ziko pande zote. Za Dar zimeletwa nyingi sana hapa mwishowe mnazikana
Zile nyumba Za Dodoma hazijamalizika pale bado panaendelea kujengwa barabara nk ni nyumba ndio zimeinuka

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 

Apartments taking over Nairobi's Kilimani & Kileleshwa as Bungalows go down.

 
Dodoma inaenda kuwa jiji la mfano Africa.
P_20180424_154451_BF_1.jpg
 
Back
Top Bottom