The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527




















Mbn unahofu sn, nilidhani utakataa kwmb hapo co KenyaKumbe umekimbilia slum areas
We jamaa kumbe unaogopa battle aise..







maana huwa hawana kingine kipya cha kutuonyesha zaidi ya estate ambazo ni zile zile miaka nenda rudiNliona hii post nikacheka Sana
Tony254 basi bhn usilete zile picha za uhalisia ulizosema kwamba utaleta wakiendelea kukutibua, Shebby01 anaweka mambo hadharaniKariobangi,kariadudu na kasabuni hii hapa haya ndo maisha ya wenzetu asilimia kubwa Wanakaa huku Emu linganisha na ghetto za homeView attachment 1802293View attachment 1802303View attachment 1802306View attachment 1802307View attachment 1802314View attachment 1802322View attachment 1802323





Kariobangi,kariadudu na kasabuni hii hapa haya ndo maisha ya wenzetu asilimia kubwa Wanakaa huku Emu linganisha na ghetto za homeView attachment 1802293View attachment 1802303View attachment 1802306View attachment 1802307View attachment 1802314View attachment 1802322View attachment 1802323

Hiyo blog jifurahishe nayo kaka. Hiyo Ni kitu hata wewe ama Mimi tunaezaandika na tuseme Kenya and Tanzania are the richest countries in the world as long as you get your clicks.
Ambao ndio majority, cc kwetu hakuna division ya namna hiyo.Bwahaha!!hyo mzee wenu anaishi sehemu ya watu wenye kipato cha chini aisee, ukweli lazima usemwe, tena hta hko hko anapiga picha maganda ya mahindi yaliyohifadhiwa kando tena zaidi amekimbilia kw slums..
Poleni sana wazee![]()
kwani maisha ni gated communities pekee...?,,Dar Ni level nyingine wakati hamna majibu za gated communities za nairobi! Kazi ni kulialia hapa 'estate'! Nilikuambia organized gated communities zinapatikana in almost all major towns in Kenya. Look at Kisumu below kisha linganisha na zile chuma kavu za Dodoma
View attachment 1802499View attachment 1802500View attachment 1802501View attachment 1802502View attachment 1802503View attachment 1802505View attachment 1802506View attachment 1802508
Wakati nyinyi mnangoja serikali iwajengee chuma chakavu hapo Dodoma, hizi za Kisumu zinajengwa na private sector
Wanaishi kwa nguvu za mwenyez mungu yaani maeneo mengi ni hazard kwa binadamu![]()







Dodoma ina uwezo wa kuikalisha Nairobi mpaka hapa ilipofikiaSs hii ndiyo saizi ya Nairobi, kwamba mtaanza kupambana na Dodoma cz Dar ni level ingine, Nairobi ni Kenya na Kenya ni Nairobi tu![]()
Tusha save mkuu






Na hizo estates zenyewe zinapigwa upande upande, vinyumba 10 vimefanana vinapigwa at a large angle kuficha uchafu uliozunguka hivyo vi estatesmaana huwa hawana kingine kipya cha kutuonyesha zaidi ya estate ambazo ni zile zile miaka nenda rudi






Unahangaika kweli kweli kijana na hizi picha za upande upande ukibadilisha angle lkn ukweli uko wazi na unaujua, tukiwaambia mlete residential areas km tunavyoleta cc mnaleta nyumba za wenye nazo ss Wakenya km hawa ambao ndio 90% ya nchi watakaa hapo? Wallahi Kenya ni MaviDar Ni level nyingine wakati hamna majibu za gated communities za nairobi! Kazi ni kulialia hapa 'estate'! Nilikuambia organized gated communities zinapatikana in almost all major towns in Kenya. Look at Kisumu below kisha linganisha na zile chuma kavu za Dodoma
View attachment 1802499View attachment 1802500View attachment 1802501View attachment 1802502View attachment 1802503View attachment 1802505View attachment 1802506View attachment 1802508
Wakati nyinyi mnangoja serikali iwajengee chuma chakavu hapo Dodoma, hizi za Kisumu zinajengwa na private sector







Nikuletee article? Au google mwenyewe report ya dertiest cities in 2021 na ukipata Dar mbele ya Nairobi niambie nifunge a/c Jf na ukiendelea kubisha naweka link hapaHiyo blog jifurahishe nayo kaka. Hiyo Ni kitu hata wewe ama Mimi tunaezaandika na tuseme Kenya and Tanzania are the richest countries in the world as long as you get your clicks.






ha haa,sasa hilo banda likiporomoka si watu wanafia ndani....Unahangaika kweli kweli kijana na hizi picha za upande upande ukibadilisha angle lkn ukweli uko wazi na unaujua, tukiwaambia mlete residential areas km tunavyoleta cc mnaleta nyumba za wenye nazo ss Wakenya km hawa ambao ndio 90% ya nchi watakaa hapo? Wallahi Kenya ni MaviView attachment 1802527View attachment 1802529View attachment 1802530
Haya hapa maeneo ya Kivule ila leo naenda tena nitaweka picha hapa, Wakenya leteni picha km hizi huko kwenu au nanyie msafiri mje muweke picha chafu za residential areasHzi ni nyumba zinajengwa na watu wa chini kabisa hapa maeneo ya msongola dar es salaamView attachment 1802516
View attachment 1802520




