The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Ndiyo maana tunasema sh1000 ya Kenya huku ni zaidi ya sh20000 lkn 20000 ya Tz ina nguvu kuliko 1000 ya Kenya.Unalipwa shingapi mzee kihko kwenu
Mwalimu anakula tsh300,000 aibu sana
Ndiyo maana tunasema sh1000 ya Kenya huku ni zaidi ya sh20000 lkn 20000 ya Tz ina nguvu kuliko 1000 ya Kenya.Unalipwa shingapi mzee kihko kwenu
Mwalimu anakula tsh300,000 aibu sana
Bwana Shamba wa Kerichoba mdogo,.. tu naomba msamaha kwa leo. ime kua ni fri yani members day, kwangu ikakua ni siku ya full kujirusha....
⚘
.. then
.. then..
..; hebu yatafakari hayo..; enway pombe sio maziwa wala sio maji..






Kunyaland mpaka leo kuna zile nyumba watu wakiamka asubuhi wanapanga foleni ya kuingia chooni,unakuta nyumba moja ina watu 35 na wote hao wanashare choo na bafu,msa kule pwani mijumba ile kama mihandaki ndio unakuta hata watu 50 wanaishi nyumba,hao jamaa ni mafukara sana aisee!Mtu saba ndogo sana banda moja unakuta ina watu 15 wanazaana kama kondoo
Acha uongo wewe,tunajua most of our kunyan friends they r living on the slums that y kamwe hamuwezi kutuonyesha makwenu,shame on uWe ukijipendekeza kwangu mpka kunipeleka kwako mpango wakolkn eti rafiki basi eti nakuleta mjengoni una biashara gani haswa na kwangu..
Hakuna sehemu imeandikwa urafiki lazima ukaishie nyumbani, urafiki hko hko mlikokutana km ni kikundini, kazini, msikitini, kanisani n.k .upo jomba
Sasa si hao ndio levels zako, ah na wewe wataka urafiki na watu wa Runda wakati unatokea uswazi middle class na wala hujui runda utaanzia wapi kusema ukweli, manake we ukifika utabaki kuhangaika mwisho akina "karen" watakuitia polisi alafu upewe kesi ya trespassing..Acha uongo wewe,tunajua most of our kunyan friends they r living on the slums that y kamwe hamuwezi kutuonyesha makwenu,shame on u
Ina nguvu hko hko kwenu wala sio kw mataifa yaliogutuka..Ndiyo maana tunasema sh1000 ya Kenya huku ni zaidi ya sh20000 lkn 20000 ya Tz ina nguvu kuliko 1000 ya Kenya.


Nasikia ngoma vitu vimeumana..Unlike Dar is slum which is a dead city, Nairobi construction sector is on the move and right now buildings are coming up from every corner.
View attachment 1800571
Hilo nchi lenu linaishi kimatabaka ndio maana mtu hata wa kibera atajifanya yuko matawi ili asibaguliwe tu,nchi la ajabu sana hilo,ukabila,udini na maskini na tajiri kila mtu kivyake,hapo we mwenyewe unakaa kwenye slum but utakataa na kujifanya unaishi tudorSasa si hao ndio levels zako, ah na wewe wataka urafiki na watu wa Runda wakati unatokea uswazi middle class na wala hujui runda utaanzia wapi kusema ukweli, manake we ukifika utabaki kuhangaika mwisho akina "karen" watakuitia polisi alafu upewe kesi ya trespassing..
Na wengine wanangoja wasamehewe Madeni🍼😛Wengine wanachukua mkopo wa Kulipa mkopo 😅😅😅
Washap kwa kuishi kwenye slums? Wajaluo ndio Kings and Queens of slums Kenya 😅😅😅Wajaluo wa Kenya wengi ni wa sharp, vipi huko? 😂 😂 😂
Huyu muhindi naona anataka kumuondoa mchina kwenye real-estates market ya Kenya, sababu saivi mchina ndio kakamata real-estates market ya KenyaJevanjee Affordable Housing project is off the ground. Some positive news.
32 blocks of 15 floors each!
View attachment 1800831View attachment 1800832View attachment 1800833
View attachment 1800830
Kama mnavyomuomba Mchina SGR Kenya!Na wengine wanangoja wasamehewe Madeni🍼😛
Huko langata nyumba ni za kipimbi sana Lakini unapigwa kodi za New Yorksawa.. mi mshamba kweli, lakini masomo ya shahada UoN,.. kazi KenHa!,.. makazi, Langata.. mimi muhuguzi.. na mshahara ya kikenya, sijui ningekua Tz ningelipwa ngapi!??🤔🤔 ($1=Tsh2,399😝😝). kenya sihami!
since nyie waTz nimegundua tu kua kumbe mnatuchunguza tu saaana sisi wa kenyarée hadi bedroom.. hebu google baći, parastatal salary structure
Vichaa wawili wamegongana majalalaniBuda si uko zakwa
Radisha man usipee watu mdomo, wataanza kuleta mshenee huku
Huyu Jivanjee huku Nairobi ana uhusiano na huyu wa Dar?Huyu muhindi naona anataka kumuondoa mchina kwenye real-estates market ya Kenya, sababu saivi mchina ndio kakamata real-estates market ya Kenya
Wakenya wamekamata slums tu 😅😅😅😅
See this fool, Polisi ni tpdf wapi na wapi.