Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ba mdogo,.. tu naomba msamaha kwa leo. ime kua ni fri yani members day, kwangu ikakua ni siku ya full kujirusha.. .. .. then .. then....; hebu yatafakari hayo..; enway pombe sio maziwa wala sio maji..
Bwana Shamba wa Kericho
 
Mtu saba ndogo sana banda moja unakuta ina watu 15 wanazaana kama kondoo
Kunyaland mpaka leo kuna zile nyumba watu wakiamka asubuhi wanapanga foleni ya kuingia chooni,unakuta nyumba moja ina watu 35 na wote hao wanashare choo na bafu,msa kule pwani mijumba ile kama mihandaki ndio unakuta hata watu 50 wanaishi nyumba,hao jamaa ni mafukara sana aisee!
 
We ukijipendekeza kwangu mpka kunipeleka kwako mpango wakolkn eti rafiki basi eti nakuleta mjengoni una biashara gani haswa na kwangu..

Hakuna sehemu imeandikwa urafiki lazima ukaishie nyumbani, urafiki hko hko mlikokutana km ni kikundini, kazini, msikitini, kanisani n.k .upo jomba
Acha uongo wewe,tunajua most of our kunyan friends they r living on the slums that y kamwe hamuwezi kutuonyesha makwenu,shame on u
 
Acha uongo wewe,tunajua most of our kunyan friends they r living on the slums that y kamwe hamuwezi kutuonyesha makwenu,shame on u
Sasa si hao ndio levels zako, ah na wewe wataka urafiki na watu wa Runda wakati unatokea uswazi middle class na wala hujui runda utaanzia wapi kusema ukweli, manake we ukifika utabaki kuhangaika mwisho akina "karen" watakuitia polisi alafu upewe kesi ya trespassing..
 
Ndiyo maana tunasema sh1000 ya Kenya huku ni zaidi ya sh20000 lkn 20000 ya Tz ina nguvu kuliko 1000 ya Kenya.
Ina nguvu hko hko kwenu wala sio kw mataifa yaliogutuka..
Nyie matumizi yenu kajilinganisheni na somalia
Eti ina nguvu, yani nimecheka aisee..elfu moja ya kenya ina nguvu kote kote manake kitu kinachouzwa elfu moja kenya elfu ishirini ya tz hainunui vice verser elfu moja ya kenya inanunua kitu ambacho kinauzwa elfu ishirini tz na unabaki na change..
Sasa hapo ipi yenye nguvu mzee
 
sawa basi, kericho mashambani lakini toa town yoyote tz iliongaa shinda kericho👇. ukipata.. ni tag!
kericho a1.jpg
kericho panorama.jpg
kericho city.jpg
KERICHO 05.jpg
kco city2.jpg
2015-12-21 15.10.20.jpg
KERICHO 02.jpg
20150426_175247_zps0uutf03h.jpg
20161023_125253.jpg
kericho4.jpg
kericho3.jpg
KERICHO CITY (2).jpg
20161023_125359.jpg
kericho1.jpg
kericho1.jpeg-1.jpg
20210405_161041.jpg
20210405_160040.jpg
20210405_174351.jpg
kericho17.jpg
kericho19.jpg
kericho9.jpg
kericho6.jpg
kericho13.jpg
kericho2.jpg
kericho12.jpg
20190216_163838.jpg
kericho15.jpg
kericho14.jpg
kericho10.jpg
kericho11.jpg

kumbafu!
 
Sasa si hao ndio levels zako, ah na wewe wataka urafiki na watu wa Runda wakati unatokea uswazi middle class na wala hujui runda utaanzia wapi kusema ukweli, manake we ukifika utabaki kuhangaika mwisho akina "karen" watakuitia polisi alafu upewe kesi ya trespassing..
Hilo nchi lenu linaishi kimatabaka ndio maana mtu hata wa kibera atajifanya yuko matawi ili asibaguliwe tu,nchi la ajabu sana hilo,ukabila,udini na maskini na tajiri kila mtu kivyake,hapo we mwenyewe unakaa kwenye slum but utakataa na kujifanya unaishi tudor
 
sawa.. mi mshamba kweli, lakini masomo ya shahada UoN,.. kazi KenHa!,.. makazi, Langata.. mimi muhuguzi.. na mshahara ya kikenya, sijui ningekua Tz ningelipwa ngapi!??🤔🤔 ($1=Tsh2,399😝😝). kenya sihami!
Huko langata nyumba ni za kipimbi sana Lakini unapigwa kodi za New York

Lakini mtanzania anaishi like your employer kwa less money than you

So who wins?

Wakenya wenzio kwenye comments wanashangaa namna maisha Tanzania yalivyo cheap but luxurious

 
since nyie waTz nimegundua tu kua kumbe mnatuchunguza tu saaana sisi wa kenyarée hadi bedroom.. hebu google baći, parastatal salary structure
Buda si uko zakwa
Radisha man usipee watu mdomo, wataanza kuleta mshenee huku
Vichaa wawili wamegongana majalalani

Kichaa mwenzako anaongea Hili kichaa mwenzie anaongea Hili

Nani mwenye muda wa kuwafuatilia ninyi sasa?
 
Huyu muhindi naona anataka kumuondoa mchina kwenye real-estates market ya Kenya, sababu saivi mchina ndio kakamata real-estates market ya Kenya

Wakenya wamekamata slums tu 😅😅😅😅
Huyu Jivanjee huku Nairobi ana uhusiano na huyu wa Dar?
 
Hesabu ni rahisi mtu anapata tabu👇👇
Tanzania ina km sq over 900k
Kenya ina km sq over 500k

tanzania population is 58m
Kenya population is 53m

sasa hapa pia tumtafute bibi nyau atupigie ramli??? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom