Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sishangai maana ukiweza kurent bedisita kenya automatically unakuwa categorized kama mido inkamu.
Unafanya kazi ADB ndio ukajue hili? 😂 😂
Niletee source yoyote, hata ya TBC inayoweka Tanzania mbele ya Kenya kwenye middle-class population
 
bado nina imani kua maombi ya Pope Francis kuiombea kenya, itatuzuia dhidi ya mapepo na mazingaumbwe tunayo rushiwa na hawa wanifik wa tz (tz sawa tu na nigeria, uchawi upo mazee..)View attachment 1800794View attachment 1800797
Wasema pole pole bro, kule kuwanga ni kama kawaida tu, yaani ata afadhali hao wa Nigeria waeza ishi, kule kuna mitaa unaambiwa hauishi, sio kwa vituko tu! 🤣
 
sawa.. mi mshamba kweli, lakini masomo ya shahada UoN,.. kazi KenHa!, makazi, Langata.. mimi muhuguzi mwazo mazee.. na mshahara ya kikenya, sio ya kiTz ($1=Tsh2,399😝😝)
Usimwambie kila kitu, asizimie! 🤣 🤣 🤣
 
Jevanjee Affordable Housing project is off the ground. Some positive news.
32 blocks of 15 floors each!
P9P5vlEh.jpg
EwBa23GXcAA39uc.jpeg
EwBa2W8XAAAeJmB.jpeg


JyoPf2fh.jpg
 
Mzungu ana budget ya kulisha wananchi wake na kuwapa mshahara kwa miaka mitano mfululizo unajifananisha na nchi wako mbele miaka 300, hii ndio shida ilioko kichwani mwenu hamuna uwezo wakuwalisha wananchi wenu even 1hr unataka kujifananisha na 1st world countries
Mbona basi katika ripoti yake kasema watoto wamemufa duniani wala hakusema nchi maskini
Kwhyo wanakufake na wakati wao wana uwezo wa kulisha watu
 
sawa.. mi mshamba kweli, lakini masomo ya shahada UoN,.. kazi KenHa!,.. makazi, Langata.. mimi muhuguzi.. na mshahara ya kikenya, sijui ningekua Tz ningelipwa ngapi!?? ($1=Tsh2,399). kenya sihami!
Hehehehee Bwana Shamba co mshamba mana ake ni master of field
 
Na unaweza kuta ni govindaa!
Yaani akioga lazima aoshe pale aondoe ule uchafu mweupe.
Si unaelewa watu wa kanda zile huwa wanakimbia ile kitu.
Bado mnaendelea kujifariji
Pole sana mzee usijali kamoyo katatulia tu wala usipanic sana
 
sawa.. mi mshamba kweli, lakini masomo ya ya shahada UoN,.. kazi KenHa!, makazi, Langata.. mimi muhuguzi.. na mshahara ya kikenya, sio ya kiTz ($1=Tsh2,399) umeridhika?
Hahaha!!mishahara ya kibongo bongo ni ya kipumbavu sana walai
Mjengo mtu kwa siku anakula tsh7k
 
Usimwambie kila kitu, asizimie! 🤣 🤣 🤣
ba mdogo,.. tu naomba msamaha kwa leo. ila ime kua ni friday yani members day, kwangu ikakua ni siku ya full kujirusha.. 👢👣.. 💃⚘🍺🍾🍗🍖🍟.. 👫💏...; hebu yatafakari hayo..; enway pombe sio maziwa wala sio maji..
 
Back
Top Bottom