babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 13,309
- 35,741
Kenyatta family inamiliki ardhi inayo watosha mamilioni ya wakenya na wako humu wanakomaa na ubishi wa kijinga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na hio ndio akili yao iko kichwani hana ndoto ya kumiliki plot wala nyumba kwasababu iko mikononi mwa wachache
mwengine anashangilia nusu ya nairobi kua pori wakat pori lina wenyewe wanasubiri fursa tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio maana slums zinaendelea kuota kama uyoga.