Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha ubishi, leta post ya news zozote za hiyo issue. Unarukaruka nini sasa? 😂 😂 😂
So estate imejengwa kwenye mashamba ya chai?? 🤣🤣🤣🤣 au hutaki kukubali kwamba ni nyumba wanazoishi farmers au unaona aibu kukubali ukweli
 
this man .. i wish someone with money volunteers to write and publish a book of Magufuli life and story of his legacy leadership in the government, so the next generation will get his records

all in all, i will always like the speech of Malawi President during Magufuli funeral
Hiyo itaandikwa na hao hao waliomzingua mzee wala usijali.
 
bro niaje.. ata lenga hizo photos.. hebu watazame hii Clip ya 'mombasa's dongokundu bypass', tusikie toka kwao tena.. (itabidi wame tii..) ata dar hakuna kitu ja hii

Hakuna kitu kama nn bypass ama??🤣🤣 hebu jaribu kua serious walau
 
Source who standard bank??🤣🤣🤣
Hiyo tu ndio mmeona? African Development Bank hamjaona hapo? So leo ADF ni waongo nyinyi ndio mnasema ukweli hapo ngongo la Mboto?!

Number mtasoma hadi Yedu arudi?
 
Kwa hio mzungu mjinga kueka lockdowns sio😂😂😂 ona sasa nani amekufa buahahahaha😂😂😂
Mzungu ana budget ya kulisha wananchi wake na kuwapa mshahara kwa miaka mitano mfululizo unajifananisha na nchi wako mbele miaka 300, hii ndio shida ilioko kichwani mwenu hamuna uwezo wakuwalisha wananchi wenu even 1hr unataka kujifananisha na 1st world countries 🤣🤣
 
Hiyo tu ndio mmeona? African Development Bank hamjaona hapo? So leo ADF ni waongo nyinyi ndio mnasema ukweli hapo ngongo la Mboto?!

Number mtasoma hadi Yedu arudi?
Hao ndio wanaotoa source za middle class rudi shuleni kwanza 🤣🤣🤣🤣 kwamba kenya standard mtu akiweza kupanga bedsitter tayar ni middle class
 
Karen unafananisha na masaki 🤣🤣🤣 mwenzako anakwambia area ilikua ya whites then ikachukuliwa na wajanja wachache wakajenga estates na kuwakodishia matajiri 🤣🤣🤣 tukikwambia leta dream house za matajiri wenu waliojenga wenyewe hamuna, munaanza kuleta habari ya dream car
Ile siku mswaki utafika hii level njoo tuongee.

Kwa sasa ruhksa kutoa povu
 
Sibishani bila post ya hiyo maneno!
👇👇👇👇👇👇

11AA364E-5021-4785-8AFD-C256D209660D.jpeg
04391D99-7844-4CCF-9C28-E356035CA8B3.jpeg
FE27BA49-6A6A-47CF-997B-65AEEF4D3EA0.jpeg
0F132416-2E4C-4293-9CA8-932872C6F90F.jpeg
 
Ile siku mswaki utafika hii level njoo tuongee.

Kwa sasa ruhksa kutoa povu
👇👇👇👇👇👇 masaki ni kubwa na ina density kubwa chukua hio karen na ushuzi mwengine combined kwa pamoja

utakua estates inamilikiwa na wale wale tunaowasema kila siku waliobakia wote kurent tu hakuna kingine 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom