Duh 2012 wakati Dar mpya inayowatoa uharo haina hata miaka 7, 2012 kulikuwa hakuna flyover, hakuna BRT, hakuna 3level interchange, hakuna modern bus terminals, umeme connectivity vijijini ilikuwa haijafika hata asilimia 30 now tupo kwenye 70+, huo mwaka kulikuwa hakuna dmdp iliyojenga lami mpk vichochoroni, kulikuwa hakuna the one and only electric sgr in EA, kulikuwa hakuna the mighty kibaha highway, oyaa we jamaa unazingua mana huo mwaka kulikuwa hakuna the most modern airpot in EA a.k.a JNIA

Kulikuwa hakuna kiboko ya Kenya a.k.a Magufuli bus terminal, kulikuwa hakuna modern markets like kisutu, Magomeni etc, kulikuwa hakuna most modern planes yn tulikuwa na ndege moja tu, kulikuwa hakuna modern ferries, kulikuwa hakuna zile towers zinazowaumiza moyo a.k.a blue towers, we jamaa vp wewe



Niendelee?



Kulikuwa hakuna the most modern cable stayed bridge in EA like kigamboni bridge, kulikuwa hakuna modern and impressive bridge like Tanzanite bridge, port ya Dar ilikuwa ya kizembe, pale Victoria kulikuwa hovyo kulikuwa hakuna beautiful towers like nowadays, pale Morogoro kulikuwa hakuna new Msamvu bus terminal, yn nikisema unaongelea Tz ya 90s mwaka huu wa 2021 ntakuwa nakosea?




Huo mwaka umeme ulikuwa unakatika katika km nyie kwenu kwa ss, kulikuwa hakuna JNHP, kulikuwa na shida ya maji km ilivyo kwenu kwa ss, unanichukuliaje 2012 we jamaa?
Sisi tuliamua kubadilika na ndiyo maana now unaona maendeleo makubwa co km nyie mlichoachiwa na wazungu mmeamua kukiuwa kabisa kwa uroho, ushenzi, wizi, tamaa na ulimbukeni






