Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio maana kila siku nakuuliza kama unajua kitu kinaitwa 'market analysis and trends.' Siku utajua ni nini hutasumbuka kuuliza hilo swali tena.
Jibu swali zisipouzika investor anafanya nn?? Manake biashara ya kurent haohao wamikiki wanaipenda sana kwasababu inaingiza pesa za rent na bado estate inabaki kua yake 🤣 au mm nasema urongooo
 
Semi illiterate vipi kaka braza.,,😂😂😂., Wakenya wataendelea kununua na kujenga utake usitake, umasikini wa kiaina wa Tanzania baki nao wewe., laana zako hazitofaulu kwa Kenya, fikra zako ni za ki witchcraft hivi., ama wewe ni sorcerer? Unatamani na kuombea mabaya wa Kenya, na kukomesha, hapa ni mwamba, ukweli tumeanika wivu sasa imekujaa hadi basi😂😂😂😂😂., vumilia tu., ni kama una amini majini wewe, vile una reason wewe!.😂😂😂😂😂., Utateseka kabisaa hadi upate ukombozi.😂😂.,
Mm au wewe 🤣🤣 munanichukia kisa naanika chupi zenu hadharani ama ? Tulia bro mchezo huu hautaki hasira ww kua mpole dunia ya leo ni globalization hata sokwe wa 21st century huwezi kumdanganya 😂😂😂
 
Mm nihangaike na ww kwan mm kenya mgeni ama??🤣🤣🤣🤣 zinanunuliwa na wenye uwezo majority ndoto hio hamuna mpka dunia itasmama
As long as ni wakenya wanazinunua hakuna shida. Ingekuwa ni watanzania hapo ungesikika
 
Mtu amefkia hatu kutuonesha nyumba wanazoishi farmers walioajiriwa na investor kwenye shamba lake kazi yao kulima mpaka dunia inasmama 🤣🤣👇👇👇
522E1052-6E2B-41D5-831C-B7D090442015.jpeg
 
As long as ni wakenya wanazinunua hakuna shida. Ingekuwa ni watanzania hapo ungesikika
Wananunua kwa pesa gani mzee?? Mm kenya huna chakunidanganya bro ww zungumza maswala mengine ila mambo ya ardhi na nyumba achilia kwa wenyewe🤣🤣🤣
 
Wapi nyumba za wenye dream zao?? Hakuna lazma utuoneshe estates tukikuuliza who owns them najua utanitajia na unawajua ni wale wale 🤣🤣🤣🤣 au nasema urongoo
😂😂😂😂😂Sasa hizo zimekodeshwa eti?😂😂😂😂., kweli umetembea Kenya, Tanzania kumbe organized residential ama estate ni za kukodishwa?😂😂😂😂, Narudia wacha kuangalia Kenya kupitia lenses za poverty ilioko Tanzania,😂😂😂😂., Semi illiterate indeed😂😂😂😂, huwa unanifurahisha dogo😂😂😂😂., hautohisahau Eldoret kamwe., if u know u know.😂😂😂😂😂.,
Eldoret
 
As long as ni wakenya wanazinunua hakuna shida. Ingekuwa ni watanzania hapo ungesikika
Anateseka kuona Kenya Kuna such organized estates, kwao anything like that ni ya rental😂😂😂., So a place like Buruburu ni rentals za mtu mmoja amekodisha watu😂😂😂🤣., Amekosa anything to measure up from their village city and outside sasa ni viji excuse 😂
 
😂😂😂😂😂Sasa hizo zimekodeshwa eti?😂😂😂😂., kweli umetembea Kenya, Tanzania kumbe organized residential ama estate ni za kukodishwa?😂😂😂😂, Narudia wacha kuangalia Kenya kupitia lenses za poverty ilioko Tanzania,😂😂😂😂., Semi illiterate indeed😂😂😂😂, huwa unanifurahisha dogo😂😂😂😂., hautohisahau Eldoret kamwe., if u know u know.😂😂😂😂😂.,
Eldoret
Labda zinunuliwe na watoto au familia za politicians 🤣🤣🤣🤣 wengine subirini bedsitter murent alaf kesho muje museme nasisi middle class 😀😀😀 mutaota ndoto za alinacha kuwaza kumiliki plot mpaka dunia iundwe tena
 
That distance tu hakuna estate yoyote Nairobi yenye that huge size of area na bado hapo hata theluthi ya masaki hajacover

Ingekua ni estates za Nairobi umbali huo tayari angekuwa keshafika kajiado na matakoz😅😅😅
Masaki itaingia kwa Karen mara sita budaboss.
Masaki - 4.26sq. km
Karen - 26.24 sq. km
2.PNG


1.PNG
 
Wamerent au wamenunua?? Hebu nijibu tuone??🤣🤣🤣🤣 Zinamilikiwa na taasisi ya serekali wakishirikiana na investors je wame rent au wamenunua??? Bila hasira plz
Moja ya housing projects kwenye hiyo video ni Greenspan Housing pale Donholm. Hizi hapa ni matangazo yao ya nyumba zinazouzwa.
images (79).jpeg
images (78).jpeg

Kelele utapiga hadi Yesu arudi but haitabadilisha chochote
 
Anateseka kuona Kenya Kuna such organized estates, kwao anything like that ni ya rental😂😂😂., So a place like Buruburu ni rentals za mtu mmoja amekodisha watu😂😂😂🤣., Amekosa anything to measure up from their village city and outside sasa ni viji excuse 😂
Nateseka kuona wapi?? Mm nawajua vzr sana nyinyi hata sasa hvi munanichukia sana kwasababu naanika musiotaka yajulikane au naema urongoooo😁😁😁😁 kwan majority of plots zinamilikiwa na kina nani hebu wataje basi bila hasira
Mm naanza na hawa 🤣🤣👇👇 endelea na wengine
F9271FD2-EBE2-4C39-BDEB-AAACB31339DD.jpeg
 
Labda zinunuliwe na watoto au familia za politicians 🤣🤣🤣🤣 wengine subirini bedsitter murent alaf kesho muje museme nasisi middle class 😀😀😀 mutaota ndoto za alinacha kuwaza kumiliki plot mpaka dunia iundwe tena
Sio sisi tunasema. These are facts. Jinyonge basi kuhusu hili😂 😂 😂 😂
images(3).png
images(2).png

Middle-class yetu ni mara mbili zaidi ya yenu na bado unapata nguvu ya kutoa povu!
 
Back
Top Bottom