Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

E2TeOKGXoAoAHne

Not a laughing matter but this deserves a LOL View attachment 1798297

Mpumbavu wenyu akipiga picha alipofika the most modern and -largest internatinal airport in East and central Africa!
 
tuusan this is Eastlands, where majority of Nairobians live. The equivalent of Uswazi in Dar.


😂😂😂. Duh hatari haya mbona ni mabweni ya shule yalivyokaa, ngoja kidogo ..Avic town ni gated community ndogo sana kulinganisha na huo uchafu wenu hapo, heb jaribu kulinganisha quality roads na usasa wa mtaa alaf utajua kwanini real estate tz ni expensive kuliko kwenu kunya land, take a look
avictown_dar_1622026394686250.jpg
avictown_dar_1622026556909311.jpg
avictown_dar_1622026433181952.jpg
 
Chunya hiyo,vijana wa kibongo wakijidai kwenye mkeka,nje ua nrb ukuti mkeka km huo kamwe
 

Attachments

  • VID_198720428_120416_140.mp4
    3.7 MB
Huyu jamaa mbona huwa anaji-brand saana ila sioni hata moja ya miradi yake ikikamilika? Kwangu mie kama anakaa tapelitapeli!
 
Hamna zege humo wala udongo kama unavyojidanganya .. okay okay, siitaji maneno mengi kueleza hapo panafananaje, hii apa down town MASAKI 👇. Alaf utaniambia umeona hata chochoro ya barabara ambayo siyo paved..?

Naona mnajaribu kutengeneza tengeneza ila bado. Most are still unpaved.
 
Naona mnajaribu kutengeneza tengeneza ila bado. Most are still unpaved.
That distance tu hakuna estate yoyote Nairobi yenye that huge size of area na bado hapo hata theluthi ya masaki hajacover

Ingekua ni estates za Nairobi umbali huo tayari angekuwa keshafika kajiado na matakoz😅😅😅
 
That distance tu hakuna estate yoyote Nairobi yenye that huge size of area na bado hapo hata theluthi ya masaki hajacover

Ingekua ni estates za Nairobi umbali huo tayari angekuwa keshafika kajiado na matakoz😅😅😅
Lol, wewe unajua area ya Karen wewe? 🤣🤣🤣 Use Google maps. Hakuna haja tusumbusne.
 
Unahangaika sana kijana wa Tandale. Kubali hamna chochote hapo fishing village. Hata uzoom hadi utuonyeshe vumbi haitabadilisha chochote kwamba hizo sehemu mbili ni kama ardhi na mbingu.

Hii swali ya nani wananunua nyumba unauliza kila siku na nikikuuliza kama kuna watanzania wananunua hizo nyumba na sio wakenya unatoa povu. Nyumba zinanunuliwa na wakenya. Kama hakungekuwa na wanunuzi hazingekuwa zinauzwa in the first place. Ndio maana kuna siku nilikuuliza kama unajua kitu kuhusu market analysis but ulishindwa kujibu. Piga kelele utakavyo kutoka dreamhouse yako hapo Tandale but haitozuia wakenya kununua nyumba. They are there for sale and Kenyans will continue buying them
Mm nihangaike na ww kwan mm kenya mgeni ama??🤣🤣🤣🤣 zinanunuliwa na wenye uwezo majority ndoto hio hamuna mpka dunia itasmama
 
Back
Top Bottom