Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimerudia picha aliyopost mwenzako akasema ni dream houses. Mimi sijui ni wapi ila alisema mwenyewe hizo ni dream houses na ni bora kuliko za Runda za kununua.
Usisahau kwamba runda ni sehemu ndogo tu ya jiji. ..wakazi wa jiji ni wengi sana kumiliki nyumba jijini sio kazi ndogo esp nyumba yenye kiwango. ..issue Ni je unaweza nunua Au kujenga mwenyewe
 
This is the Nairobi version of dream houses:





















People in DAR ni to dream big!! This issue of building 3 bedroom bungalows that do not even cost more than KShs 3m and calling it dream houses is a big joke. That is a dream that can be achieved by age 28. What the hell are you doing with the rest of your life ... 🙄 🙄

Haha dream house ya 3bedrooms nmecheka sanaa
 
Hii sio mbaya let them wamalize miradi iliyokuwa stagnant maana kiuchumi hai-make sense jengo kama la Morocco Square kuachwa bila kumaliziwa maana lita-deteriorate! Ila masithubutu kuanza miradi mipya wakati Real Estate occupancy ya Dar ipo chini ya 50%! Waangalie kujenga makazi sehemu zenye uhitaji haswa Dodoma! Huku Dar kazi yao ibaki ku-market miradi yao mpaka ocuupancy ivuke 70%!

Pia serikali imalizie all the 6 phases za BRT na pia ile +100km super Highway Chalinze-Dar kwanza; maana mshika mawili moja humponyoka!

Kwwnye swala la brt pesa zishatengwa zamani sijui bado wanangojea nn phase 3 na 4
 
Usisahau kwamba runda ni sehemu ndogo tu ya jiji. ..wakazi wa jiji ni wengi sana kumiliki nyumba jijini sio kazi ndogo esp nyumba yenye kiwango. ..issue Ni je unaweza nunua Au kujenga mwenyewe
How is morgate in tz? Most apartments in Nairobi can easily be Financed by bank if you have a stable income.
The rate of interest is 13% here
 
[QUOTE="tuusan, post: 39159276, member: 373150"] Haha dream house ya 3bedrooms nmecheka sanaa [/QUOTE] 3 bedroom house is quite serious for middle income and its alao not a small house
 
Not a laughing matter but this deserves a LOL
Screenshot_20210526_155550_com.twitter.android.lite.jpg
 
How is morgate in tz? Most apartments in Nairobi can easily be Financed by bank if you have a stable income.
The rate of interest is 13% here
unaongea vitu cheap sana hoja normal zisizo na mashiko,,,

chokoraa ni chokoraa tu
 
A worthy and able neighbor; sio fukara wa kulia lia
Ethiopia and Kenya $1billion electricity highway completed

Tanzania doubled that size of your whole joint venture and we're not even bragging

We're connecting to the rest of SADC Community
 
This is the Nairobi version of dream houses:





















People in DAR ni to dream big!! This issue of building 3 bedroom bungalows that do not even cost more than KShs 3m and calling it dream houses is a big joke. That is a dream that can be achieved by age 28. What the hell are you doing with the rest of your life ... 🙄 🙄


Hivi vijumba hata watu 1k havichukui ni a drop in the ocean, majority wanasota kwenye majalala ya huruma na moyo safi
 
Na wale wanaoishi kwa slums za Nairobi wamehesabiwa kweli!!?
Pia nje ya Nairobi na Mombasa je!!?
Just like I said, mmeanza siasa sasa. You people can't hold a descent debate. Have you realized that in all those four graphs middle-class yenu haijafikia hata nusu ya Kenya? Kazi mnayo!
 
Back
Top Bottom