Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa wale wanaoichukia Kenya itabidi mjinyonge tu maana maendeleo yanazidi kufanyika huku. Sasa tunajitayarisha kuzindua nyaya za umeme kutoka Kenya hadi Ethiopia. Wenye wivu wajinyonge






Yani mnauziwa umeme na waithopia unakuja kujitamba hapa 😅😅😅
 
Kwa wale wanaoichukia Kenya itabidi mjinyonge tu maana maendeleo yanazidi kufanyika huku. Sasa tunajitayarisha kuzindua nyaya za umeme kutoka Kenya hadi Ethiopia. Wenye wivu wajinyonge





mbona kila nchi inafanya hii regional grid interconnection? Tena Tanzania ina both East African power pool and Southern Africa power pool!

 
Hawa majamaa sai hwana hamu nairobi, jamaa eastleigh ilikua hata haitajwi haitajwi humu..
Lkn nakwambia ingelikua iko dar basi tungelizungushiwa mipicha lukuki humu
Sisi kwa mambo kama haya ni kawaida sana kwetu...lakini wao wameishi kupost kariokoo kila siku.mimi huwambia hivi vijikariokoo ni vingi sana hapa Nairobi lakini hatujitambi

Sent from my LAVA_R1 using JamiiForums mobile app
 
Alafu tukija tena katika idadi ya wealthy suburbs tumewabaka aisee, middle class areas tumewalawiti nyumba za wakenya wa kawaida mashinani tumewaua kabisa..

Si nyie wenyewe wanapopost akina tanga mnajionea uswazi tu, yani nchi nzima tz wananchi wa kawaida hawana zaidi ya dream house
Si ndiyo hizi hapa nyumba wanazoishi Watz wa kawaida au hamtaki? Kwn wenzenu wanaporudi huko kwenu hawawaambii ukweli vile mTz wa kawaida anaishi, ona dream houses with no slums
IMG_20210523_181928_211.jpg
IMG_20210523_181924_827.jpg
IMG_20210523_181918_286.jpg
IMG_20210523_181913_457.jpg
IMG_20210523_154819_366.jpg
IMG_20210523_154750_255.jpg
IMG_20210523_154723_834.jpg
IMG_20210523_154719_613.jpg
IMG_20210523_154705_966.jpg
IMG_20210523_154129_820.jpg
IMG_20210523_153809_126.jpg
IMG_20210523_153417_763.jpg
IMG_20210523_153353_029.jpg
 
Wakenya mnaona environment ya Dar inavyopendeza yn pasafiii km pamefagiwa vile hahahahaaa, watu huku ni wasafi naturally aisee alafu huku ni uswazi ndani ndani kabisa, kwn nyie wenzenu wanaokuja huku huwa hawawaambii ukweli
IMG_20210523_153353_029.jpg
IMG_20210523_153417_763.jpg
IMG_20210515_122226_424.jpg
 
Inaitwa strengthening bilateral relations, ujaona juzi safaricom wamepewa kibali

Semeni tuu hamna uwezo wa kuzalisha umeme wa kukidhi mahitaji yenu kama mngekuwa nao unadhani mngenunua umeme Ethiopia Acha kujifurahisha mzee
 
Hapa co Beach tafadhali sn hapa ni uswazi ndani ndani kabisa kudadadeki kwnn msitamani kuwa watanzania
IMG_20210523_154819_366.jpg
IMG_20210523_154719_613.jpg
IMG_20210523_153417_763.jpg
IMG_20210523_153353_029.jpg
 
Alafu tukija tena katika idadi ya wealthy suburbs tumewabaka aisee, middle class areas tumewalawiti nyumba za wakenya wa kawaida mashinani tumewaua kabisa..

Si nyie wenyewe wanapopost akina tanga mnajionea uswazi tu, yani nchi nzima tz wananchi wa kawaida hawana zaidi ya dream house
We jamaa mhuni sana
 
Back
Top Bottom