Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hasa huyu chokoraa Nicxie hanaga jipya, yeye huwa anaweka vipicha vyake vya upande upande daily hivyo hivyo, hachoki huyu jamaa aisee watu tunapost picha mpya yeye anakazana na zile zile tu au Nairobi ni stagnant city nn?
 
Soma vzr nilichokuomba ufanye na co kukurupuka onesha CBD zenye misitu minene km ya Nairobi wacha upuuzi, and btw were not u who said that westerners want to restore their cities? What does that statement mean?
You keep changing lanes every now and then. This is Nairobi cbd taken in different angles
images(64).jpg
images(65).jpg
images(66).jpg
images(68).jpg
images(69).jpg


Nionyeshe misitu hapa (as you foolishly call them). Ama kitu hamtaki kuona ni any element of green leaf?
Na ni wapi nilisema westerners are restoring their cities? Ni kizungu huelewi kama wenzako ama?
 
Hasa huyu chokoraa Nicxie hanaga jipya, yeye huwa anaweka vipicha vyake vya upande upande daily hivyo hivyo, hachoki huyu jamaa aisee watu tunapost picha mpya yeye anakazana na zile zile tu au Nairobi ni stagnant city nn?
Nyumba kama hizo nikianza kupost hapa sitamaliza hata Loresho pekee in a day
 
How is Westlands part of Nairobi cbd? You can clearly see cbd and upperhil in the background. Mbona unapenda ubishi hivi?

Back to that picture, tulishakuambia kwamba Nairobi tunazingatia zaidi utunzaji wa gree spaces, just like many other cities around the world. Usiforce tufanane nanyi kijana.
Angalia Johannesburg ilivyo na iko hapa hapa Africa.
images(70).jpg
images(79).jpg
images(80).jpg
images(77).jpg
images(76).jpg
images(75).jpg
images(74).jpg
images(73).jpg
images(72).jpg


Unaonaje hizo 'Misitu'? Is Dar better than Jo'burg in anything just because Dar doesn't have green spaces but Jo'burg has? Anzeni kupanda miti Dar kijana na muache kelele usiku na mchana. Sitachoka kuwaelimisha
 
Back
Top Bottom