Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pakawaida ndio lakin nyumba ziko kwenye mpangilio na hazifanani...barabara zipo lami na kila kitu kipo...Mbezi beach chini ndio pamenoga zaidi

Mzee hao achana nao washazoea kukaa kwenye estate mwisho kurudi saa tatu ukichelewa unafungiwa geti kama wanafunzi
 
Mbona zinanikalia za kawaida sana. Hivi Dar kuna estate yoyote unayoweza kulinganisha na Muthaiga, Karen, Runda, Muthangari, Springvalley, Riverside, Kitisuru, Ridgeways, Gigiri ama Lavington?
Kwa hizo sehemu zote umetaja, labda Lavington tu. Hizo zingine zote hawana cha kufananisha nayo.
images(30).jpg
 
Dar nzima ingekuwa inafanana hivyo hiyo kelele yenu ya dreamhouses ingesikika. Unfortunately, that's not the case. More than half of Dar looks like this image below and that's why we refer to thse shanties as your dreamhouses coz these are the type of houses that majoritybof dar residents live in (the so called dreamhouses) including many of you who make noise in here
View attachment 1794873

And have we forgotten that Mbezi you posted is one of the affluent neighborhooslds in Dar? One of the areas where the rich live? 😂 😂 😂 The equivalent of Rundas, Lower Kabetes, Gigiris and Kyunas of Nairobi?
Magomeni kagera after zooming 🤣🤣🤣
D84FC765-679E-4604-A5BB-D1103AB2BD41.png
 
Achana naye mzee huyo, jamaa kaamua kujitia utahira iki tu avuruge mada..yani analazimisha metro ifanane na county mazee..
Mpuuze tu
Kwasababu nawapa ukweli 🤣🤣🤣 kwamba leo hii kajiadoo sio county sasa kazi ya bunge la kajiadoo ni nn na mbuge wake??🤣🤣🤣
 
nyumba kutofanana haimaanishi ni za high quality. Halafu kuna estates zilizokuwa developed na developers na Estates ambazo mtu ananunua pake anajijengea. Zilizofanywa na developers huwa zimefanana. Ila ninachojua, kwa estates za hadhi ya juu Dar iko nyuma sana ya Nairobi maanake hapo Masaki/Oysterbay ndio the highest end neighborhood in Dar yet ukiileta Nairobi hata top 10 haionekani.
Ananunua kwa pesa gani?? Wakat most of them wame rent au ww unatak kutufanya wageni humu ndani ??🤣🤣🤣 au nyinyi mkiweza kurent bedsitter munajiona kama ni middle class???
 
Kwahyo wewe ndio unajua sana Au vp...
Maeneo mengi yako hivi...wacha kua mjuaji tulia ujuzwe...do you expect watu million 5 wote wakaishi magomeni,manzese and the likes ambapo kulishajaa nyumba tangu kitambo?View attachment 1794890
Hio magomeni yenyewe anaijua basi 🤣🤣 magomeni kuna magorofa kama yote kuna nyumba za adabu kama zote
 
Hawa wanataka tu tufanane nao and then hawana exposure pia. Wanafikiri life starts and ends in Dar. Cities all over the world are trying to maintain and even cone up with new green spaces wao wanataka tutoe green spaces
Tufanane na nyie mama yangu 🤣🤣🤣 yani sisi tufanane na mji wenye slums zaidi ya 20 acha masihara kabisa bro
 
Back
Top Bottom