babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 13,307
- 35,736
Trees Ni nzuri na zinapendeza sana mkuu hilo halina ubishi.....Those are not forests kijana wa Tandale. Those are green spaces, and there are very nice houses there in tranquil, green and quite environment. Birds chirping and and the wind blowing sending a cool breeze your way! Driving along tree-lined avenues with lush green manicured gardens. Who doesn't want that? Usilazimisha tufanane. Look at New York below kisha utuondolee ufalamanga wenu!
View attachment 1794922View attachment 1794925View attachment 1794928View attachment 1794929
Wanatuona sisi wajinga sana. Eti sasa tulete picha ya Kileleshwa ama Lavington hapa alafu tuaminishe watu eti Nairobi yote inafanana hivyo! And then have you realized that hata hiyo Mbezi hao ni sehemu ya kawaida sana? Kuna time nimeona wakipost picha za Masaki (the best neighborhood in Dar) and I couldn't tell the differences between it na LavingtonNi kama kuchukua Kileleshwa as representative of Nairobi. 🤣 🤣 🤣
Najua lengo lako ila utaumia sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Picha aliyoleta Tuusan na kusema Victoria I was able to see a few buildings that I have always known to be in Kijitonyama. Inawezekana majina ndio tofauti but this is just one place kwa sababu kama si hivyo nisingeweza kuona yale majumba ya Kijitonyama kwenye picha ya Victoria
Alafu hawajui High End Residential areas hua hazina manyumba ya gorofa sababu ya privacy na security.Wanatuona sisi wajinga sana. Eti sasa tulete picha ya Kileleshwa ama Lavington hapa alafu tuaminishe watu eti Nairobi yote inafanana hivyo! And then have you realized that hata hiyo Mbezi hao ni sehemu ya kawaida sana? Kuna time nimeona wakipost picha za Masaki (the best neighborhood in Dar) and I couldn't tell the differences between it na Lavington
Wenzako wanaziita forests! 😂 😂 😂Trees Ni nzuri na zinapendeza sana mkuu hilo halina ubishi.....
Msiwahi understumate Dar es salaam View attachment 1794958View attachment 1794959View attachment 1794960View attachment 1794961View attachment 1794962
Wanajenga nn hapa mkuu.
Unataka battle ya green spaces btn Dar and Nairobi?Wenzako wanaziita forests! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Personally i just love green spaces and can't just get enough of them. It's soothing
I have tried telling them this but hawaelewi. Masaki imejaa apartments kila corner yet it's Dar's crème de la crème 😂 😂 😂Alafu hawajui High End Residential areas hua hazina manyumba ya gorofa sababu ya privacy na security.
Umebadilisha gear? Sasa sio forests tena? Sawa basi tuanze na golf courses?Unataka battle ya green spaces btn Dar and Nairobi?
ubungo mkuu kama sikoseiHivi Mabibo ni manispaa gani? Kinondoni au Ubungo?
Haya, waeleze wenzako maanake wanashinda humu wakidiss eti Nairobi imejaa mapori juu ya green spaces. Funny characters.Trees Ni nzuri na zinapendeza sana mkuu hilo halina ubishi.....
Msiwahi understumate Dar es salaam View attachment 1794958View attachment 1794959View attachment 1794960View attachment 1794961View attachment 1794962
Picha aliyoleta Tuusan na kusema Victoria I was able to see a few buildings that I have always known to be in Kijitonyama. Inawezekana majina ndio tofauti but this is just one place kwa sababu kama si hivyo nisingeweza kuona yale majumba ya Kijitonyama kwenye picha ya Victoria
Barabara mkuu.Wanajenga nn hapa mkuu.
Oysterbay yenyewe haifikii hata Kilimani wakati Kilimani haingii top 20 Nairobi kwa residential areas kali. 🤣 🤣 🤣Wanatuona sisi wajinga sana. Eti sasa tulete picha ya Kileleshwa ama Lavington hapa alafu tuaminishe watu eti Nairobi yote inafanana hivyo! And then have you realized that hata hiyo Mbezi hao ni sehemu ya kawaida sana? Kuna time nimeona wakipost picha za Masaki (the best neighborhood in Dar) and I couldn't tell the differences between it na Lavington
mtaishia kupost estate tu ambazo wanamiliki watu wawili watatu au kampuni mbali na hapo hamna cha kupost[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umebadilisha gear? Sasa sio forests tena? Sawa basi tuanze na golf courses?
ohk kwa hiyo ni barabara sio? Soko la mahakama ya Ndizi vp?ubungo mkuu kama sikosei
Kino.Hivi Mabibo ni manispaa gani? Kinondoni au Ubungo?
Aisee lipi ni lipi? 🙆♂️Kino.