Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania kwishaaarais keshasema barakoa ndio habari ya mjini...labda afe basi ndio aje mwngine ambae atakataa uvaaji wa barakoa km marehemu
Imekwisha vp hebu tuelezeee mm sijawah kuona taasisi za serekali kama mbunge au mikutano ya wizara wakivaa barakoa hebu elezea uweleweke🤣🤣🤣🤣 ngoja mechi ya simba kesho tuone watu watavaa
 
Nionyeshe mbunge wowote yule nchi yyte duniani amabae anawakilisha metro
We kumbe mbweha sana, hapa hta unengue kiasi gani hitoki
Je unapinga bajeti ya NMS
Kilaza wahedi
Niaminishe mm kua metro ni county ??🤣🤣 Nifunge acc sasa hvi kwani kenha hawana budget??
Hii haitabadilika mpaka dunia inasmama👇👇👇👇👇👇👇
11405719-EDBD-4C3F-AF1D-D66638686947.jpeg
AE1AB30E-3F8C-4560-9FBF-409F7092CBE7.jpeg
6750AFCF-A63F-4EB8-868A-190B318396E2.jpeg
 
Sasa world bank walikosea ama 🤣🤣👇👇
Ongea taratibu plz bila hasira kuna wagonjwa humu plz plz 😄😄😄😄
View attachment 1792784





View attachment 1792790


Don YF sio mm usinikasirikie bro ni world bank 🤣🤣🤣 hakuna janja
 
Dar es Salaam , of course 90% of Dar looks like this, we build our dream houses and live our own life. We are free men.
View attachment 1793295View attachment 1793297
Hata ukija uswazi kupo hivi yn decent houses despite the so called unplanned settlement na ndiyo kitu tunapiga kelele kwamba hakipaswi kufumbiwa macho, but kwenye makazi aisee mtasubiri sana cz Tz ujenzi ni bei rahisi mno kulinganisha na vinchi vingine vya EA
IMG_20210515_122242_506.jpg
IMG_20210515_122226_424.jpg
IMG_20210515_122307_284.jpg
IMG_20210515_122216_287.jpg
IMG_20210515_100705_476.jpg
IMG_20210515_100653_424.jpg
IMG_20210515_100537_413.jpg
IMG_20210224_161333_728.jpg
IMG_20210224_160834_436~2.jpg
IMG_20210224_161216_635.jpg
IMG_20210224_160846_201.jpg
IMG_20210224_162205_791.jpg
IMG_20210224_161136_775.jpg
IMG_20210224_161057_543.jpg
IMG_20210224_161318_149.jpg
 
SGR Yenu ya Makufuli ilifika mpaka wapi😆Usiongelele ambacho huna,na Huwezi kufika Bei🤪Reli yetu inapiga Shughuli na Biashara inakua kabisa🔥🇰🇪🔥mpaka Uganda🔥🔥Tunaelekea DRC🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣
Tumia macho kwanza kabla hujaruhusu hasira 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
 
Wamejazana humu wanapunguza stress, wana maisha magumu sana..Kina Gideon Moi ni mabilionea huko Baringo.
Niliwaambia hapa politicians ndio mtu anaweza kua na ndoto ya kumiliki plots na majumba nairobi lakini wale 85% wasubiri dunia iumbwe tena 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom