Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,913
- 103,781
Si ndo maana niliwaita Wakunya! Kunya hadharani ni jadi yao!
Si ndo maana niliwaita Wakunya! Kunya hadharani ni jadi yao!
Alaf kitu cha ajabu zaidi hzo slums zote zinamilikiwa na serekali 🤣🤣🤣🤣Weka hapa tuone km kuna mahali london au Dsm iko hivi zen tutaamini mnaonewa
View attachment 1793287View attachment 1793288View attachment 1793289View attachment 1793290View attachment 1793291View attachment 1793292
Wakenya angalieni mazingira natural ya Dar jinsi yako friendly na binadamu yn hata kama umevaa nguo nyeupe ukadondoka bahati mby huchafuki kiasi cha kulazimika kubadili nguo km ambavyo itakulazimu ukidondoka hapaHata ukija uswazi kupo hivi yn decent houses despite the so called unplanned settlement na ndiyo kitu tunapiga kelele kwamba hakipaswi kufumbiwa macho, but kwenye makazi aisee mtasubiri sana cz Tz ujenzi ni bei rahisi mno kulinganisha na vinchi vingine vya EAView attachment 1793324View attachment 1793325View attachment 1793326View attachment 1793327View attachment 1793328View attachment 1793330View attachment 1793331View attachment 1793332View attachment 1793334View attachment 1793335View attachment 1793336View attachment 1793337View attachment 1793339View attachment 1793340View attachment 1793342




Duh aisee tumepiga hatua kubwaMaafisa wa elimu wa wilaya wanapewa hilux revo new model ina thamani kuliko prado za mawaziri wa kenyaView attachment 1793362



Waziri kenya anatumia prado 🤣🤣 yani wanamaisha magumu hao jamaa waone hvi hviDuh aisee tumepiga hatua kubwa![]()
Kama amesahaulika Mbona unamjua🤣🤣Mimi personally alisomesha Baba yangu🙏Asante kwakeA reason they are both dead but Nyerere will live forever.
That thief of yours is dead and gone, no one talks of him.
Kuna fahari gani kuwa na Mali nyingi na ndugu zako ni mafukara na huwasaidii kuwainua.
His billions didn't help you from building decent toilets in Baringo. Mnakunya hadharani kama bata.
Wat?I prove to you,na ukona bundles!!!My friend🤣🤣🤣🤣Weka hapa tuone km kuna mahali london au Dsm iko hivi zen tutaamini mnaonewa
View attachment 1793287View attachment 1793288View attachment 1793289View attachment 1793290View attachment 1793291View attachment 1793292
Hio sio free🤪Nikama cages za Kuku,nikama mapipa ya Chakula ya nguruwe kwa magunia zimetapakaa kila mahali,Maajabu😭😭Dar es Salaam , of course 90% of Dar looks like this, we build our dream houses and live our own life. We are free men.
View attachment 1793295View attachment 1793297
One Mkunya from Nyeri was heard boasting!Wengine wanalinganishaga skyscraper zao na Kibera,No wonder wako lazy hivyo,ata aibu😆South Africa Iko na Slums Lakini ikija kwa list ya Maendeleo hamwapiti endeleeni kujigamba kifalafala wakati Zambia,Rwanda,DRC zinangangana kutengeneza Inchi Yao na maendeleo kila upande,Kaeni kitako mukingoja pia Nyinyi mue na Pesa za makaratasi kama muisemavyo Kenya🇰🇪🔥🔥
Nmekuwekea picha za uswazi bongo umepanic, au ulifikiri tunaposema Tz hakuna slums ukahisi tunadanganyaMabongo mumezoea kuleta Picha za kiberaMbona hamleti slum Zenu za Mbagala,Manzese,Kigogo,Vuvunguti,Tandale,etc
Yani Ni Nyumba za Nyasi na matope Tena Zina uvundo,Nikama Makazi ya Nguruwe
Alafu hio Kibera munatajanga apa
Imejaa Maskini Wachaga,Wasukuma,Wapemba na Waganda(Wagisu) Yani mpaka hawana aibu wakitaka kupewa uraia kilasaa wanalilia Uhuru,Rudini kwenu
#THe Best 007




