Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wamejazana humu wanapunguza stress, wana maisha magumu sana..Kina Gideon Moi ni mabilionea huko Baringo.
🤣 wakunya bhana, mpaka huruma. hawana forum yao kutwa jamii forum lasivyo twitter(#KOT) na kizungu kiingi dunia inawachora tuu walivyo wazamiaji kila mahala mpka kwenye forum za nchi za watu. If you are a Kenyan think twice😂😂
 
Eastleigh
IMG_20210516_101231_776.jpg
IMG_20210516_101310_548.jpg
IMG_20210516_101354_390.jpg


Sent from my LAVA_R1 using JamiiForums mobile app
 
Hata ukija uswazi kupo hivi yn decent houses despite the so called unplanned settlement na ndiyo kitu tunapiga kelele kwamba hakipaswi kufumbiwa macho, but kwenye makazi aisee mtasubiri sana cz Tz ujenzi ni bei rahisi mno kulinganisha na vinchi vingine vya EA[emoji116][emoji116]View attachment 1793324View attachment 1793325View attachment 1793326View attachment 1793327View attachment 1793328View attachment 1793330View attachment 1793331View attachment 1793332View attachment 1793334View attachment 1793335View attachment 1793336View attachment 1793337View attachment 1793339View attachment 1793340View attachment 1793342
Tulisema hatutaki buildings moja moja kwani ngumu vipi😂😂😂😂
 
When it rains for one hour in Nairobi,
Something I fail to understand is that Nairobi is in highlands, how do their poor brains fail to plan for proper drainage really sucks, but someone said Kenyan engineers qualifies to engineering classes without physics qualification.. View attachment 1793131View attachment 1793137
ask me.. infact am an Architect and got an A in physics, mathmatics.. working in the public service/civil service of this great republic, infact the 3rd largest economy!.... acts of God is inavitable!!.. go to Texas, Miami, Atlanta, LA, Tokyo.. infact them experience even more extreem conditions; typhoons, Tonados, Tsunamis, eartquakes and wht have you
 
Back
Top Bottom