Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



Tukiwaambia wanabishaa 🤔

Kwao ni nchi ikimilikiwa na wajanja wachache sana wakiwemo politicians , wafanya biashara wakubwa sana , na investors kwisha waliobakia wana ndoto ya kurent bedsitter na hela ya uji alaf wanakwambia middle class hao🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 


The situation and moody by Wakunya....

shutterstock_496074835-696x465.jpg


peeping-tom.jpg
 
Japanese is driving Kenyas legislature like a miserable donkey

The whole parliament is sitting to exempt taxes from all Japanese investments in Kenya, what a stupid and failed state 😅😅

Yaani bunge linavunja sheria yake ilioitunga ya kodi just for Japan, so cheap



Nikisema mm wananichukua bora useme wewe 🤣🤣🤣🤣 wengine wana nyumba za urithi ushagooo
 
Hii ndiyo kitu Tony 254 alisema ata expose humu km kina Yosef festo wataendelea kumtibua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na huyu ni mmoja tu yupo nairobi nina watu zaidi ya 1000 🤣🤣🤣🤣
 
Nikisema mm wananichukua bora useme wewe 🤣🤣🤣🤣 wengine wana nyumba za urithi ushagooo
Did you first know the economic value ya wao kufanya hivo kabla ya kuanza tu kupayuka???? Kitendo hicho kitaleta more good than bad sa zingine si kupost tu sababu lazima kupost tujaribu kuwa wakweli na kuongelea mambo ambayo yatatusaidia
 
Eti boda boda ajenge nyumba Nairobi wakati mwalimu wa serikali hana uwezo huo [emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji1664]
🤣🤣🤣🤣 alaf masharti ya bodaboda aliopewa hata apewe miaka 40 hapati hio nyumba nilivombana akaanza kuleta boda boda boda wa nakuru 😄😄😄😄
 
Baada ya kushindwa ku-improve investment conditions with superior infrastructure wanawinda makampuni ya Japan ya-invest Kenya kwa offer za kipumbavu! Sasa kama hili ni zuri kwa uchumi wa Kenya unaokopa ku-finance budget, sijui!
Hawa waishaisha toka kipindi kileee🤣🤣 nchi ilishajinyea sasa walichobaki ni kuikabishi nchi kwa investors wafanye wanachotaka sasa😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom