Kisumu ya sasa ndo hiyo na inaendelea kujengwa arusha haiwezi karibia kisumu. town za kenya sasa zilianza kupewa hela zote soon hata town ya kijiji kenya itafikia city tanzaniaNdio hii waikua wanafananisha na uchafu fulani unaitwa kisumu 🤣🤣🤣🤣 a.k.a baiskeli taxi
Mlitudanganya kwamba mikataba zote zilikuwa zimetiwa saini mwezi uliopita. Ona sasa mnavyoumbuka. Kumbe hamkuwa mumetia saini mikataba zote?
So kua na akili ya kurithu nyumba ya ukoo ushagoo ndio akili mlionayo wengie ama??😅Did you first know the economic value ya wao kufanya hivo kabla ya kuanza tu kupayuka???? Kitendo hicho kitaleta more good than bad sa zingine si kupost tu sababu lazima kupost tujaribu kuwa wakweli na kuongelea mambo ambayo yatatusaidia
Tanzania had requested for a postponement of signing in Kampala to allow to raise her stake in EACOP from 5% to 15%! Try to go through the clip by TPDC, it was well explained by Dr. Matarajio!Mlitudanganya kwamba mikataba zote zilikuwa zimetiwa saini mwezi uliopita. Ona sasa mnavyoumbuka. Kumbe hamkuwa mumetia saini mikataba zote?
Hii ndio unafananisha na arusha 🤣🤣🤣🤣Hiyo haiwezi karibia town za kenya sasa zilianza kulewa hela zote soon hata town ya kijiji kenya itafikia city tanzania
View attachment 1791514
View attachment 1791515
View attachment 1791516
View attachment 1791517
View attachment 1791518
View attachment 1791519
View attachment 1791520
View attachment 1791521
Hapana wewe ndo ulifananisha na kumbe arusha mbovuHii ndio unafananisha na arusha 🤣🤣🤣🤣
Ni kweli hakuna 😁😁Sasa hiyo ndo unafananisha na kisuma hata njia zenyewe Hina??????
Kurithi nyumba ushagoo imetokea wapi???So kua na akili ya kurithu nyumba ya ukoo ushagoo ndio akili mlionayo wengie ama??😅
Nyumba hio hio ina warithi mia tatu wenye akili kama zako
Niliwacheki hawa jamaa wa boda, mchezo mchezo, sahi wana magheto ya kishuaKilaza anafikiria jubilee ni CCM ya propaganda, hapa tunaongelea private housing kilaza ako kwa jubilee, jubilee hai husiki na mfumo wa SACCO 😂😂😂😂.,ni initiative ya watu binafsi😂😂😂, nitakufunza by force by fire 🔥🔥😂😂😂 Tanzania ni masikini kweli, umeumwa leo, pole sio kupenda kwangu, Sikuchukii, sikujua huu ukweli utakutesa, na post yangu ilikua tu kuwajuza tu ukweli, mimi ni facts nilikua naleta tu, kama nimekosea mtu nisamehewe jameni😂😂😂 ,😂😂😂😂.,
Boda boda housing..,
View attachment 1790676
Ile ilikua upande wa uganda sasa inakuja upande wetu mbona unahsira sana tony kwann hvo bro 🤣🤣🤣🤣🤣Mlitudanganya kwamba mikataba zote zilikuwa zimetiwa saini mwezi uliopita. Ona sasa mnavyoumbuka. Kumbe hamkuwa mumetia saini mikataba zote?
Hii no main road namaanisha intermediary roads hizo ndo zinafanya town iwe accessibleNi kweli hakuna 😁😁View attachment 1791527
Kumbe picha za google asante bro ukituliza hasira nitag plz🤣🤣🤣🤣Hapana wewe ndo ulifananisha na kumbe arusha mbovuView attachment 1791525
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uliwacheki wapi ??Niliwacheki hawa jamaa wa boda, mchezo mchezo, sahi wana magheto ya kishua
Sipo arusha sasa hivi ulitaka nitoe picha wapi? Lakini next week nasafiri nitapitia huko nikupigie reality kwa uwanjaKumbe picha za google asante bro ukituliza hasira nitag plz🤣🤣🤣🤣
Ngoja nikusaidie kidogo 🤣🤣👇👇Hii no main road namaanisha intermediary roads hizo ndo zinafanya town iwe accessible
Sasa kwann unapost tu kwani unapajua arusha vzr wewe??😅😅😅Sipo arusha sasa hivi ulitaka nitoe picha wapi? Lakini next week nasafiri nitapitia huko nikupigie reality kwa uwanja
Staki fujo, kama huelewi nazungumzia nini, tulia na ule kitimoto taratibu.. 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uliwacheki wapi ??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nanyuki, laikipia kweli jamani tunazungumza dream za kimjini ww unatuletea mambo ya ushagoo bro are u even seriousStaki fujo, kama huelewi nazungumzia nini, tulia na ule kitimoto taratibu.. 😂
"From an initial daily savings of Sh. 50, boda boda operators in Nanyuki town, Laikipia County, became the proud house owners in a project worth Sh. 95 million."