Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

With only 10,000 ksh deposit you can own a motorbike worth 115,000 in less than a year courtesy of Watu – Empowering Entrepeneurs

I did that😎😎😎
Sasa nataka nionyeshwe any such or related model of development kwa raiya in Tanzania., tuliinganishe tuone faida zake.., ama umoja wa wa Tanzania ni wa kinafiki tu hauna faida yeyote kwa mtu mmoja moja!!
 
Kumbe hata slums zinamilikiwa na serekali nilikua sijui aisee 🀣🀣🀣🀣🀣 sasa nimeamini kwann maskini atabakia kua maskini kenya
 
Sasa nataka nionyeshwe any such or related model of development kwa raiya in Tanzania., tuliinganishe tuone faida zake.., ama umoja wa wa Tanzania ni wa kinafiki tu hauna faida yeyote kwa mtu mmoja moja!!
Tanzania mtu wa chini ndoto ya kumiliki ardhi na nyumba is just a second πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† wala hata haendi usingizini kulala aote kumbe slums zinamilikiwa na serekali 🀣🀣🀣
 
Kajilipua tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kudadeq si ulisema watu nairobi hawamiliki nyumba binafsiπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
IMG_20210519_121016_127.jpg


Jamaa tena akamaliza ubishi, ardhi zote za slums ni za serikali ndo maana wanajenga semi-permanent structures wakifkuzwa hamna hasaraπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
IMG_20210519_120305_999.jpg


Mwambie huyo jamaa yako apewe nguruwe kilo πŸ–πŸ–πŸ– ntalipa😁😊😊
 
Kumbe hata slums zinamilikiwa na serekali nilikua sijui aisee 🀣🀣🀣🀣🀣 sasa nimeamini kwann maskini atabakia kua maskini kenya
Ndio ni za serikali, anytime wanavunjiwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ jiulize kwanini wamejenga semi-permanent structures. Pewa nguruwe choma kwa bill yanguπŸ–πŸ–πŸ–
 
Sasa an opinion ya mtu ndio basiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Mbona unaweka maneno kwa mdomo wake., muulize kuhusu SACCO pia, vile wakenya wamepata mpenyo wa kukwepa bei ghali kwa kuungana, na pia ka kuanbia wananunua mbali na Nairobi, sio kukodishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Nimekupa mfano wa boda boda as far as Nakuru na Nanyuki., Karibu na Nairobi nimekupa Kitengela., Wewe ulitakaje sasa?., Huyo jamaa wako lazima atakua slum dweller or just a low life standards, ana survive tuπŸ˜‚πŸ˜‚, I can read his level of reasoning na tone ya maandishi.,
Nimemaliza tayari sasa ruksa kutapika ruksa kutoa nyongo ruksa kutoa utumbo mdogo na ni ruksa kuharisha kwa maana sina namna πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 1790568View attachment 1790569View attachment 1790570View attachment 1790571View attachment 1790574
 
Ndio ni za serikali, anytime wanavunjiwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ jiulize kwanini wamejenga semi-permanent structures. Pewa nguruwe choma kwa bill yanguπŸ–πŸ–πŸ–
Anajaribu lakini wapi, anaambulia patupuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., siku ya nyani kukufa ni 2021., Nilikiri hili., Unaona vile wanahangaika., sasa ni kutafuta kuponda tu, kwao zeroπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.,
 
Ona kitu gani unaongea wewe 🀣🀣 yani wallah unatia mpaka huruma
Umeleta link kua bodaboda wamenzishiwa mfuko wa kufanya saving na kupa two bedroom wewe mwenyewe na hio link uliopost wenyewe wanasema imewachukua ugumu kupata watu na challenges ziliwashinda watu wakawa wanajitoa na nikiangalia ugumu waliouonana bodaboda ni huu hapa hata mwendawazimu hawezi kubali πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Na ukiangalia kwa hesbu rahisi ni lazma maskini abaki maskini tu View attachment 1790596
Onyesha boda boda wa Nakuru, Nanyuki, Kitengela na wengi wao wamedanganya dunia, hawakujenga nyumba na hawana chochote.., nangoja jibu sina harakaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., wacha kutapatapa na vijisababu uchwara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.,

Onyesha....,weka evidence..,
 
Akaendelea kujilipuaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, kudadeq alisema hakuna kitu kama Nairobi metroπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
IMG_20210519_122450_490.jpg

Don YF huyu jamaa tutamuua kwa presha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ yes ni jubilee
View attachment 1790605
Kwa faida ya wana saccoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Unaumia hadi rahaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Na bado wana sacco wana nyumba zao Donholm., Wewe kilaza, members wanakula dividends kila mwisho wa mwaka wewe uko hapa kupinga usicho fahamuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., uliza faida ya kukuwa member wa SACCO ni nini? SACCO inatumia mchango wa members kujenga nyumba ama kufanya biashara kisha wakauza kwa faida na members wanapewa dividends kila mwaka kulingana na mchango wa mtu., leo nitakufunza kwa lazimaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Asie funzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Mimi ndio ulimwengu kwako., Yaani uko ovyoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., "...Sikuchukii na kudharau.."πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., (Waliimba Kleptomaniacs)
 
Naomba nionyeshwe model yenye watanzania wanatumia kujiinua kutoka kwa umasikini kama hizi SACCO za Kenya or related., Am still here leo, na ichoboy01 anipatie evidence ya kuonyesha wana boda boda wa Kenya ni waongo, SACCO haijawasaidia kujijengea nyumba na kuwainua kimaisha..,
 
Kwa faida ya wana saccoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Unaumia hadi rahaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Na bado wana sacco wana nyumba zao Donholm., Wewe kilaza, members wanakula dividends kila mwisho wa mwaka wewe uko hapa kupinga usicho fahamuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., uliza faida ya kukuwa member wa SACCO ni nini? SACCO inatumia mchango wa members kujenga nyumba ama kufanya biashara kisha wakauza kwa faida na members wanapewa dividends kila mwaka kulingana na mchango wa mtu., leo nitakufunza kwa lazimaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Asie funzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., Mimi ndio ulimwengu kwako., Yaani uko ovyoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., "...Sikuchukii na kudharau.."πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., (Waliimba Kleptomaniacs)
Maliza hiyo takataka ya manispaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwani mulikua munaisemaje tandale umesahau 🀣🀣🀣 si juzi tu hapa mulipost tandale baada ya mm kuwaonesha hali halisi mukazuga sasa jumamos natumba yombo kaa mkao wakula
Waambie mfano mwema wa tandale ni nyumba ya mondi ya tandale je jumba kama lile unaweza kulipata mathare
 
I believe is jubilee πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡ ndio maan iliwatoa ndoto za kumiliki plot na nyumba mpaka dunia itasmama
Screenshot_20210519-060952.jpg
Kilaza anafikiria jubilee ni CCM ya propaganda, hapa tunaongelea private housing kilaza ako kwa jubilee, jubilee hai husiki na mfumo wa SACCO πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.,ni initiative ya watu binafsiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, nitakufunza by force by fire πŸ”₯πŸ”₯πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tanzania ni masikini kweli, umeumwa leo, pole sio kupenda kwangu, Sikuchukii, sikujua huu ukweli utakutesa, na post yangu ilikua tu kuwajuza tu ukweli, mimi ni facts nilikua naleta tu, kama nimekosea mtu nisamehewe jameniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.,
Boda boda housing..,
Screenshot_20210519-060952.jpg
 
Kajilipua tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kudadeq si ulisema watu nairobi hawamiliki nyumba binafsiπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 1790612

Jamaa tena akamaliza ubishi, ardhi zote za slums ni za serikali ndo maana wanajenga semi-permanent structures wakifkuzwa hamna hasaraπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 1790617

Mwambie huyo jamaa yako apewe nguruwe kilo πŸ–πŸ–πŸ– ntalipa😁😊😊
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ anza mwanzo mpaka mwisho kumbe slums pia za serekali nilikua sijui kume ni kweli 70% wanaishi kwenye mazizi ya nguruwe
1CC84819-581C-4318-BD1E-15FDD655649C.jpeg
75B4CAA5-702B-44AF-81BF-7D36339BD548.jpeg
F7315C80-1E53-4F09-A466-09D48F578783.jpeg
56993FE7-1784-4424-B6A9-1114415B5145.jpeg
F897E48E-5794-4732-A4AA-6A1764FE3EF6.jpeg
 
Anajaribu lakini wapi, anaambulia patupuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., siku ya nyani kukufa ni 2021., Nilikiri hili., Unaona vile wanahangaika., sasa ni kutafuta kuponda tu, kwao zeroπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.,
Najaribu nn πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ sio mm ni mwenyeji wa nairobi kazaliwa nairobi
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ anza mwanzo mpaka mwisho kumbe slums pia za serekali nilikua sijui kume ni kweli 70% wanaishi kwenye mazizi ya nguruweView attachment 1790681View attachment 1790682View attachment 1790683View attachment 1790684View attachment 1790685
 
Onyesha boda boda wa Nakuru, Nanyuki, Kitengela na wengi wao wamedanganya dunia, hawakujenga nyumba na hawana chochote.., nangoja jibu sina harakaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., wacha kutapatapa na vijisababu uchwara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.,

Onyesha....,weka evidence..,
Tena hutaki wa nairobi 🀣🀣🀣 inamaana muda wote tunabishana hapa hutaki bodaboda wa nairobi kwann 🀣🀣🀣 kwani hii batlle inazungumzaje??? Dar vs nairobi sasa nakuru inaingiaje hapa mzee kwann unafeli kiasi hicho
 
Back
Top Bottom