Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

With only 10,000 ksh deposit you can own a motorbike worth 115,000 in less than a year courtesy of Watu โ€“ Empowering Entrepeneurs

I did that๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž
Sasa nataka nionyeshwe any such or related model of development kwa raiya in Tanzania., tuliinganishe tuone faida zake.., ama umoja wa wa Tanzania ni wa kinafiki tu hauna faida yeyote kwa mtu mmoja moja!!
 
Kumbe hata slums zinamilikiwa na serekali nilikua sijui aisee ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ sasa nimeamini kwann maskini atabakia kua maskini kenya
 
Sasa nataka nionyeshwe any such or related model of development kwa raiya in Tanzania., tuliinganishe tuone faida zake.., ama umoja wa wa Tanzania ni wa kinafiki tu hauna faida yeyote kwa mtu mmoja moja!!
Tanzania mtu wa chini ndoto ya kumiliki ardhi na nyumba is just a second ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† wala hata haendi usingizini kulala aote kumbe slums zinamilikiwa na serekali ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Kajilipua tena๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kudadeq si ulisema watu nairobi hawamiliki nyumba binafsi๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
IMG_20210519_121016_127.jpg


Jamaa tena akamaliza ubishi, ardhi zote za slums ni za serikali ndo maana wanajenga semi-permanent structures wakifkuzwa hamna hasara๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
IMG_20210519_120305_999.jpg


Mwambie huyo jamaa yako apewe nguruwe kilo ๐Ÿ–๐Ÿ–๐Ÿ– ntalipa๐Ÿ˜๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
 
Kumbe hata slums zinamilikiwa na serekali nilikua sijui aisee ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ sasa nimeamini kwann maskini atabakia kua maskini kenya
Ndio ni za serikali, anytime wanavunjiwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ jiulize kwanini wamejenga semi-permanent structures. Pewa nguruwe choma kwa bill yangu๐Ÿ–๐Ÿ–๐Ÿ–
 
Sasa an opinion ya mtu ndio basi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Mbona unaweka maneno kwa mdomo wake., muulize kuhusu SACCO pia, vile wakenya wamepata mpenyo wa kukwepa bei ghali kwa kuungana, na pia ka kuanbia wananunua mbali na Nairobi, sio kukodisha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Nimekupa mfano wa boda boda as far as Nakuru na Nanyuki., Karibu na Nairobi nimekupa Kitengela., Wewe ulitakaje sasa?., Huyo jamaa wako lazima atakua slum dweller or just a low life standards, ana survive tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, I can read his level of reasoning na tone ya maandishi.,
Nimemaliza tayari sasa ruksa kutapika ruksa kutoa nyongo ruksa kutoa utumbo mdogo na ni ruksa kuharisha kwa maana sina namna ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡View attachment 1790568View attachment 1790569View attachment 1790570View attachment 1790571View attachment 1790574
 
Ndio ni za serikali, anytime wanavunjiwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ jiulize kwanini wamejenga semi-permanent structures. Pewa nguruwe choma kwa bill yangu๐Ÿ–๐Ÿ–๐Ÿ–
Anajaribu lakini wapi, anaambulia patupu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., siku ya nyani kukufa ni 2021., Nilikiri hili., Unaona vile wanahangaika., sasa ni kutafuta kuponda tu, kwao zero๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
 
Ona kitu gani unaongea wewe ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ yani wallah unatia mpaka huruma
Umeleta link kua bodaboda wamenzishiwa mfuko wa kufanya saving na kupa two bedroom wewe mwenyewe na hio link uliopost wenyewe wanasema imewachukua ugumu kupata watu na challenges ziliwashinda watu wakawa wanajitoa na nikiangalia ugumu waliouonana bodaboda ni huu hapa hata mwendawazimu hawezi kubali ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Na ukiangalia kwa hesbu rahisi ni lazma maskini abaki maskini tu View attachment 1790596
Onyesha boda boda wa Nakuru, Nanyuki, Kitengela na wengi wao wamedanganya dunia, hawakujenga nyumba na hawana chochote.., nangoja jibu sina haraka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., wacha kutapatapa na vijisababu uchwara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,

Onyesha....,weka evidence..,
 
Akaendelea kujilipua๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, kudadeq alisema hakuna kitu kama Nairobi metro๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
IMG_20210519_122450_490.jpg

Don YF huyu jamaa tutamuua kwa presha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ yes ni jubilee
View attachment 1790605
Kwa faida ya wana sacco๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Unaumia hadi raha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Na bado wana sacco wana nyumba zao Donholm., Wewe kilaza, members wanakula dividends kila mwisho wa mwaka wewe uko hapa kupinga usicho fahamu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., uliza faida ya kukuwa member wa SACCO ni nini? SACCO inatumia mchango wa members kujenga nyumba ama kufanya biashara kisha wakauza kwa faida na members wanapewa dividends kila mwaka kulingana na mchango wa mtu., leo nitakufunza kwa lazima๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Asie funzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Mimi ndio ulimwengu kwako., Yaani uko ovyo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., "...Sikuchukii na kudharau.."๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., (Waliimba Kleptomaniacs)
 
Naomba nionyeshwe model yenye watanzania wanatumia kujiinua kutoka kwa umasikini kama hizi SACCO za Kenya or related., Am still here leo, na ichoboy01 anipatie evidence ya kuonyesha wana boda boda wa Kenya ni waongo, SACCO haijawasaidia kujijengea nyumba na kuwainua kimaisha..,
 
Kwa faida ya wana sacco๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Unaumia hadi raha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Na bado wana sacco wana nyumba zao Donholm., Wewe kilaza, members wanakula dividends kila mwisho wa mwaka wewe uko hapa kupinga usicho fahamu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., uliza faida ya kukuwa member wa SACCO ni nini? SACCO inatumia mchango wa members kujenga nyumba ama kufanya biashara kisha wakauza kwa faida na members wanapewa dividends kila mwaka kulingana na mchango wa mtu., leo nitakufunza kwa lazima๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Asie funzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Mimi ndio ulimwengu kwako., Yaani uko ovyo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., "...Sikuchukii na kudharau.."๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., (Waliimba Kleptomaniacs)
Maliza hiyo takataka ya manispaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kwani mulikua munaisemaje tandale umesahau ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ si juzi tu hapa mulipost tandale baada ya mm kuwaonesha hali halisi mukazuga sasa jumamos natumba yombo kaa mkao wakula
Waambie mfano mwema wa tandale ni nyumba ya mondi ya tandale je jumba kama lile unaweza kulipata mathare
 
I believe is jubilee ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ ndio maan iliwatoa ndoto za kumiliki plot na nyumba mpaka dunia itasmama
Screenshot_20210519-060952.jpg
Kilaza anafikiria jubilee ni CCM ya propaganda, hapa tunaongelea private housing kilaza ako kwa jubilee, jubilee hai husiki na mfumo wa SACCO ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,ni initiative ya watu binafsi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, nitakufunza by force by fire ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Tanzania ni masikini kweli, umeumwa leo, pole sio kupenda kwangu, Sikuchukii, sikujua huu ukweli utakutesa, na post yangu ilikua tu kuwajuza tu ukweli, mimi ni facts nilikua naleta tu, kama nimekosea mtu nisamehewe jameni๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
Boda boda housing..,
Screenshot_20210519-060952.jpg
 
Kajilipua tena๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kudadeq si ulisema watu nairobi hawamiliki nyumba binafsi๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡View attachment 1790612

Jamaa tena akamaliza ubishi, ardhi zote za slums ni za serikali ndo maana wanajenga semi-permanent structures wakifkuzwa hamna hasara๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡View attachment 1790617

Mwambie huyo jamaa yako apewe nguruwe kilo ๐Ÿ–๐Ÿ–๐Ÿ– ntalipa๐Ÿ˜๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ anza mwanzo mpaka mwisho kumbe slums pia za serekali nilikua sijui kume ni kweli 70% wanaishi kwenye mazizi ya nguruwe
1CC84819-581C-4318-BD1E-15FDD655649C.jpeg
75B4CAA5-702B-44AF-81BF-7D36339BD548.jpeg
F7315C80-1E53-4F09-A466-09D48F578783.jpeg
56993FE7-1784-4424-B6A9-1114415B5145.jpeg
F897E48E-5794-4732-A4AA-6A1764FE3EF6.jpeg
 
Anajaribu lakini wapi, anaambulia patupu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., siku ya nyani kukufa ni 2021., Nilikiri hili., Unaona vile wanahangaika., sasa ni kutafuta kuponda tu, kwao zero๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
Najaribu nn ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ sio mm ni mwenyeji wa nairobi kazaliwa nairobi
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ anza mwanzo mpaka mwisho kumbe slums pia za serekali nilikua sijui kume ni kweli 70% wanaishi kwenye mazizi ya nguruweView attachment 1790681View attachment 1790682View attachment 1790683View attachment 1790684View attachment 1790685
 
Onyesha boda boda wa Nakuru, Nanyuki, Kitengela na wengi wao wamedanganya dunia, hawakujenga nyumba na hawana chochote.., nangoja jibu sina haraka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., wacha kutapatapa na vijisababu uchwara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,

Onyesha....,weka evidence..,
Tena hutaki wa nairobi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ inamaana muda wote tunabishana hapa hutaki bodaboda wa nairobi kwann ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kwani hii batlle inazungumzaje??? Dar vs nairobi sasa nakuru inaingiaje hapa mzee kwann unafeli kiasi hicho
 
Back
Top Bottom