Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

F4A0563A-8D4C-4C8A-BAF5-3BD19626FA24.jpeg


 
Umerudi😁😁😁😁 skuizi msasani ndo imekua uswahilini😂😂😂😂
Kwani huitaki msasani ??? 🤣🤣🤣 hebu taja sehemu ya uswahilini mm nikuletee picha kwa mikono yangu alaf tufananishe na kibera au makuru kayaba 🤣🤣🤣🤣
 
Hvi mpangaji anaeza kua na wivu na nyumba sio yake ???🤣🤣🤣🤣 Au nianze kukuonesha owners wa hzo estates
Unajaribu kuhamisha goli😂😂😂, leta low middle class estates kwani ni ngumu vipi😁😁😁😁
 
Kwani huitaki msasani ??? 🤣🤣🤣 hebu taja sehemu ya uswahilini mm nikuletee picha kwa mikono yangu alaf tufananishe na kibera au makuru kayaba 🤣🤣🤣🤣
Punguza mikwara😂😂😂😂 where do majority of dar residents live😂😂😂😂
Kwan hilo swali ni gumu vipi😁😁😁
 
Unajaribu kuhamisha goli😂😂😂, leta low middle class estates kwani ni ngumu vipi😁😁😁😁
Msasani ni middle class au ulikua hujui ?? Mikocheni ni middle class na hata tandale kuna middle class wengi sana 🤣🤣🤣 au ww unafkiri ku rent bedsitter ni middle class au hujui maana halisi ya middle class na uzuri wa tanzania hakuna specific area ya low class na middle class
 
Punguza mikwara😂😂😂😂 where do majority of dar residents live😂😂😂😂
Kwan hilo swali ni gumu vipi😁😁😁
Taja sehemu unayotaka kujua mm nikuoneshe ushaanza kuogopa sas😃😃 dar imetawanywa kote yani watu kila class huishi anyplace kwasababu social services zipo za kutosha kila sehemu tafaut na kwenu wenye ardhi pekee ndio wenye pesa waliopanga wengine wanatafuta pesa mboga 🤣🤣

estate moja inamilikiwa na mtu mmoja na wamepanga watu elfu 10 na hao wote waliopanga wanatafuta hela ya kula tu
 
Msasani ni middle class au ulikua hujui ?? Mikocheni ni middle class na hata tandale kuna middle class wengi sana 🤣🤣🤣 au ww unafkiri ku rent bedsitter ni middle class au hujui maana halisi ya middle class na uzuri wa tanzania hakuna specific area ya low class na middle class
Middle class yenu ni ndogo sana😂😂😂 mimi nataka low middle class kule mtanzania wa kawaida( majority) anakoishi😂😂😂😂
 
Mm nilikwambia huna chakupost wewe zaidi ya estates zinazomilikiwa na wachache lakini nyumbq wanazomiliki wakenya wenyewe hakuna mpaka dunia itasmama 🤣🤣🤣 na ndoto hzo hamutakua nayo milele
View attachment 1788473View attachment 1788474
Rudia tena😂😂😂😂😂 , kweli ata Mimi naona nikama hizo za kwetu😂😝😂😂., well done Dar👏👏👏👏😝😝😂😂🤭🤭😂., Kweli kweli zina ambatana., next?
 
Middle class yenu ni ndogo sana😂😂😂 mimi nataka low middle class kule mtanzania wa kawaida( majority) anakoishi😂😂😂😂
Utachoka bure si umeona what he is posting🤭😂😂😂😂., am working as I check posts humu., yaani ichoboy01 is my guy😂😂😂😝🤣 , atajitetea hadi basi🤣😂😂
 
hi approach kuhusu corona wasituforce kuvaa barakoa, kujilockdown wala wasipokee loans za ajabu ajabu.. wao wafanye wanavyotaka lkn wasitulazimishe
approach nzima sijaipenda[emoji706] na it was obvious wataongelea mambo kama haya


Yametukuta ndugu! Sema kinachotakiwa ni kupiga kampeni ya kufa mtu, watu wakatae kupima, lockdown na chanjo.
 
Tukianza kwenye millionares hamtuwezi tukija kwenye middle class hamtuwezi kitu mumetushinda ni umaskini na maskini wenyewe 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂Kilaza hana jibu anatafuta pa kutokea😂😂😂😂😝😝., unatapatapa tu huku na kule 😝😂😂😂🤣😂., mara estates za eastlands zinamilikiwa na watu blah blah., masikini wa fikra wewe, 😂😂😂😂😂., weka picha naona umechoka zimeisha imebaki Kiswahili tu kama kawaida😂😂😂😂😂😂😂., Brooo vipi wewe?!.,😂😂😂 Dar ni juu kisha chini., Kati kati naeza hesabu., mchezo kwisha.,😂😂😂😂😂
 
Kwamba ili utambulike middle class kule kwa wakunya inatakiwa uishe kwenye hayo mabox! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni fikra yako fupi😂😂😂, haya basi msaidie mwenzako Kiswahili weka kando, leta picha tuone ma nyungu za kwenu...🤔🤔😜😂
 
Back
Top Bottom