Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu akikosa huu uzi uta bore, wacha akuje na reasoning chwara nifurahi.,🤣🤣😂😂😂🤣😂, hawa ni wale fukara, kashatoka kudoea kwa wenyewe kameshiba wacha kachangamke humu kidogo 😂🤣😅.,
Ukimbana utaskia ' ukipata prove nitag nifunge account'
 
14b ksh tax payers money maskini zimekwenda na maji yani simple like that🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni wachafu hakuna mfano [emoji23][emoji23][emoji23]




Ni kweli mkuu Hali sio nzuri kwenye mji mkuu wa wenzetu karibia maeneo yote ni full taka hakuna utaratibu mzuri wa kuzoa taka 🙂🙂kesho Nina safari ya kakuma nikirudi ntazunguka NAI nione maendeleo yao😀
20210514_154439.jpg
20210514_153334.jpg
 
Yani ukikatoa kale ka cbd uchwara, hivi ndo dar inabakia😁😁 kama huamini wekeni location zenu hapa😂😂
images (2).jpeg
images (3).jpeg
 
Ni kweli mkuu Hali sio nzuri kwenye mji mkuu wa wenzetu karibia maeneo yote ni full taka hakuna utaratibu mzuri wa kuzoa taka 🙂🙂kesho Nina safari ya kakuma nikirudi ntazunguka NAI nione maendeleo yao😀View attachment 1784604View attachment 1784605
Ona barabara zilivopigwa viraka 🤣🤣 alaf viraka venyewe sasa vimevimba kama vitumbua kwa mama sele😅😅😅
 
Hutaki nifurahi na nyie siku ya leo sema tu kama hutaki tufurah sote 🤣🤣🤣🤣 ww hasira zote za nn sasa hvu nilikukosea nn
La hasha njoo tufurahie, leo ningekua Dar tungekula bata hadi basi., ningekujenga deadly mtani., 😅🤣🤣🤣😂😅🤣, welcome aboard kaka, usiogope, hakuna matata ni siku ya furaha🤣😅😅😂 , 👍👏👏.,
 
La hasha njoo tufurahie, leo ningekua Dar tungekula bata hadi basi., ningekujenga deadly mtani., 😅🤣🤣🤣😂😅🤣, welcome aboard kaka, usiogope, hakuna matata ni siku ya furaha🤣😅😅😂 , 👍👏👏.,
Karibu sana bro ile leo sijatoka kabisa nimechoka tu naona uvivu wakutoka ila pamoja sana 👍👍👍👍👍
 
Back
Top Bottom