Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kawaida ya demand and supply. Kama demand ni kubwa bei inapanda and vice versa . Hakuna jipya hapo
Mm nimefurah kuona mchele sasa tunawatandika kwa 2500 per kg yani wakulima watafaidika sana 😀😀😀😀
 
Wazee wa bakuli mpo
Maskini nyie, siku zote tumeambiwa wasaidieni maskini na nwenye uwezo mkopeshe ila km hana uwezo heri umpe bure...
Km hauna ukipewa balaa ni lile la kukamatiwa assets wengine wakiwaonea huruma na kuwafutia madeni kabisaView attachment 1783775
Alaf ikitokea kwenu inakua nn sufuria au🤣🤣🤣🤣😀👇👇👇 Wazee wa sufuria na mchina hawapi pesa manake mutakula anawapa vifaa tu sasa muibe matairi na viti muuze







Kumbe wanajua😅😅😅😅😅

 
Angefanya magufuli wangesema dikteta sasa kafanya baba yao sijui watatumia neno gani
Mzee mshaurini hyo mwandishi wenu aache ku copy paste habari za kenya, akitaka habari aje mwnywe afanye research..
Siasa zetu hamziwezi nyiewanapinga highcourt si aanze kwanza chief justice..
Hyo ya highcourt ni cinema tu lkn mchezo umeshaandaliwa vyema ukamalizika..
Siasa zetu zitokeni jamani..

Vichwa vyenu na siasa za kenya bado sana, ICC tu walichezwa shere itakuja high court..

Mbona bunge walipitisha kitambo
 
Mzee mshaurini hyo mwandishi wenu aache ku copy paste habari za kenya, akitaka habari aje mwnywe afanye research..
Siasa zetu hamziwezi nyiewanapinga highcourt si aanze kwanza chief justice..
Hyo ya highcourt ni cinema tu lkn mchezo umeshaandaliwa vyema ukamalizika..
Siasa zetu zitokeni jamani..

Vichwa vyenu na siasa za kenya bado sana, ICC tu walichezwa shere itakuja high court..

Mbona bunge walipitisha kitambo
🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇tulia urambe dawa siasa kenya ni za wizi tu hakuna siasa kenya🤣🤣🤣🤣 BBi imekunywa 14b ksh taxpayers money yani ndio maana nasema tajiri kenya atabaki kua tajiri na maskini atabaki kua maskini😝😝😝😝
 
Sisi wanaleta wenyewe nyie munaletea kwa huruma watu wanakufa na njaa sasa huruma ndio inawafanya walete chakula na mbaya zaidi ni nchi zenye jangwa
Hehehe!!unakufa njaa na hku unamiliki AK47 na G3 tatuukiongezea zaidi jamaa ana ngombe 1000 na kila wiki kuna soko la kuuzia mifungo..
Mbona ruto alipotaka kuona makaburi machifu walisepa
 
tulia urambe dawa siasa kenya ni za wizi tu hakuna siasa kenya
Siasa zetu km series vile, unapelekwa mbele alafu unarudishwa nyuma km flashback...
Kwanza wewe akili zako ndogo huwezani kabisa,
20210513_233654.jpg
 
Hehehe!!unakufa njaa na hku unamiliki AK47 na G3 tatuukiongezea zaidi jamaa ana ngombe 1000 na kila wiki kuna soko la kuuzia mifungo..
Mbona ruto alipotaka kuona makaburi machifu walisepa
Unawazungumzia wa turkana na wapokot ngoja uone 🤣🤣👇👇👇👇

njaa haina baunsa 😀😀😀 hata uwe na kifua kama tembo njaa inakuondoa tu
 
Nyie wajomba Yosef Festo Nicxie na Coco reborn nyie tuliwaambia jana kwamba haya maneo sio ya Dsm slums kama kwenu uko, leo nimewaletea clear pictures za hayo maeneo alaf mlinganisha na slums zenu,twende kazi .. View attachment 1783330View attachment 1783331vs your slums View attachment 1783333View attachment 1783334View attachment 1783335NB: SISI HATUISHI KWENYE MABATI KAMA WANAYAMA
In Tanzania Unaweza enda miles and miles ukiona Uswazi.Dar is Slum/TZ is Slum👎😛
 
Back
Top Bottom