Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni zoom tena au bado hujarudhika🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇 slum ni kitu chakushangaa nairobi au kenya wakat zipo miaka na miaka eti leo mtu anakanaa wakat kibera hata nyani alieko australia anaijua

View attachment 1781846
Zoom close, wide angle.., uone kama itafanana na Dar same wide angle, mko ovyo kabisa.,😅🤣🤣😅.,
 
Masikini wa fikra hakombelewibrahisi.,🤣🤣🤣😅😅., itabidi uombewe, umeganda akili😅🤣🤣😅, kwani unemployment inamaanisha mtu hajiwezi ama hana kwao? ama uko wa kwao, nyie mmejazana Dar na kuongeza ufukara wa vijijini, ndio maana mumefinyana in those shitty looking houses across Dar., hauna lolote la kiniambia dogo, uko way below in your reasoning 😅🤣🤣🤣😅😅.,


ZOOOOM!!
Ni zoom tena 🤣🤣🤣👇👇👇 leo mkenya anashangaa slum hahahah nimecheka sana
3ED62706-BEB1-49E9-98D9-C5BCC356957C.jpeg
 
Zoom close, wide angle.., uone kama itafanana na Dar same wide angle, mko ovyo kabisa.,😅🤣🤣😅.,
Ukhekhekhekhekhekhe boga mwenzio kasema hii ni slum ama 🤣🤣🤣👇👇👇 Nicxie hvi nyinyi munafkiri mzungu ni mpumbavu kama nyinyi
E84C4255-9DB0-4E5F-A249-B2E361B5380F.jpeg
E1018031-C39A-482D-BC20-3B057E77B876.jpeg
 
Hehehe oneni hii gari ndio inabeba binaadamu nairobi 🤣🤣🤣🤣🤣 sijui walilaaniwa na nani hawa watu
View attachment 1781851
Kila wakati nakuambia wewe ni kilaza hausikii🤣😅😅😅, hamjafika bado, pia nyie mko na uharo bado., kwanza za kilofa sana.., kaka kabla ya kurusha jiwe jiangalie, wahenga walisema, muuzaji wa mayai sokoni hawezi kuanzisha fujo.,🤣😅🤣🤣.,
Screenshot_20210512-121958.png

1620811341977.jpg

Hizi hapa☝️☝️ zinafika Mombasa pale mwembe tayari ndio stage, gari imechoka na wamefunga magunia na mizigo juu.,

Hizi nazo wewe utasema ni laana? uko ovyo kimawazo, tafuta ukombozi🤣🤣🤣😅😅
1620811341379.jpg

1620811340887.jpg
 
Kila wakati nakuambia wewe ni kilaza hausikii🤣😅😅😅, hamjafika bado, pia nyie mko na uharo bado., kwanza za kilofa sana.., kaka kabla ya kurusha jiwe jiangalie, wahenga walisema, muuzaji wa mayai sokoni hawezi kuanzisha fujo.,🤣😅🤣🤣.,
View attachment 1781856
View attachment 1781857
Hizi hapa☝️☝️ zinafika Mombasa pale mwembe tayari ndio stage, gari imechoka na wamefunga magunia na mizigo juu.,

Hizi nazo wewe utasema ni laana? uko ovyo kimawazo, tafuta ukombozi🤣🤣🤣😅😅
View attachment 1781860
View attachment 1781864
Usafir wa hivo DSM ni wa kuhesabu mambo ya zamani
 
Yosef Festo Mzungu hawezi kua mjinga kama wewe yani aone slum za dunia nzima asione ya dar pekeee 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇
View attachment 1781859
Wide angle dogo., Umekimbilia kibera tu😅🤣🤣😅, capture the all selected areas ulikua umepost kwa hiyo satellite image yako in one view closer tuone.., nilijua hauna kende😅🤣🤣🤣😅, u are forced to cherry pick, ju Kibera doesn't look exactly like that right now.., Mr. Google😅🤣🤣😅
 
Usafir wa hivo DSM ni wa kuhesabu mambo ya zamani
Kujitetaa ni kawaida yenu., mbona zinafika Mombasa pale mwembe tayari., very old vans., am not ichoboy01 eti nisambaze propaganda., bro jikubali, then grow up and songa mbele., pole pole Africa will grow, jeuri na majigambo hayasaidiii, facts scream louder than words🤣😅😅
 
Kila wakati nakuambia wewe ni kilaza hausikii🤣😅😅😅, hamjafika bado, pia nyie mko na uharo bado., kwanza za kilofa sana.., kaka kabla ya kurusha jiwe jiangalie, wahenga walisema, muuzaji wa mayai sokoni hawezi kuanzisha fujo.,🤣😅🤣🤣.,
View attachment 1781856
View attachment 1781857
Hizi hapa☝️☝️ zinafika Mombasa pale mwembe tayari ndio stage, gari imechoka na wamefunga magunia na mizigo juu.,

Hizi nazo wewe utasema ni laana? uko ovyo kimawazo, tafuta ukombozi🤣🤣🤣😅😅
View attachment 1781860
View attachment 1781864
Kudadeki😂😂😂😂😂
 
Kujitetaa ni kawaida yenu., mbona zinafika Mombasa pale mwembe tayari., very old vans., am not ichoboy01 eti nisambaze propaganda., bro jikubali, then grow up and songa mbele., pole pole Africa will grow, jeuri na majigambo hayasaidiii, facts scream louder than words🤣😅😅
Eti wajikubali😁😁😁
 
Kila wakati nakuambia wewe ni kilaza hausikii🤣😅😅😅, hamjafika bado, pia nyie mko na uharo bado., kwanza za kilofa sana.., kaka kabla ya kurusha jiwe jiangalie, wahenga walisema, muuzaji wa mayai sokoni hawezi kuanzisha fujo.,🤣😅🤣🤣.,
View attachment 1781856
View attachment 1781857
Hizi hapa☝️☝️ zinafika Mombasa pale mwembe tayari ndio stage, gari imechoka na wamefunga magunia na mizigo juu.,

Hizi nazo wewe utasema ni laana? uko ovyo kimawazo, tafuta ukombozi🤣🤣🤣😅😅
View attachment 1781860
View attachment 1781864
Unapost mpaka culture zanzibar 🤣🤣🤣 umeona hapo bus unaeza fananisha na huu uozo 🤣🤣🤣👇👇👇👇 mulirogewa wapi nyinyi
61020479-8882-4A1B-B6AF-A3C9AFD1EBF9.jpeg
 
Wide angle dogo., Umekimbilia kibera tu😅🤣🤣😅, capture the all selected areas ulikua umepost kwa hiyo satellite image yako in one view closer tuone.., nilijua hauna kende😅🤣🤣🤣😅, u are forced to cherry pick, ju Kibera doesn't look exactly like that right now.., Mr. Google😅🤣🤣😅
Mamaeee kamasi zinakutoka sasa umejua kwann dar mzungu hakuona slum najua ushajua na umeelewa sasa na kama ni sawa basi usharamba nasubiri boga mwenzuo aje au toka kwa acc hio njoo kwa ile acc ya Nicxie nikukaange tena 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom