ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Slum nairobi hazitaisha mpaka yesu ashuke yani unapozungumzia slum ni lazma kenya ifuate kwa mbele kwasababu slum zimejaa kila kona ya kenya na labda unajua kwann slum zinakuwepo kwasababu ardhi nyingi zimeshikwa na wachache sasa wengi wanajikusanya sehemu moja moja wanaishi maisha hata ukimpeleka nguruwe haiwezi kuishi lazma afe 😂😂😂😂😂 au nadanganyaThat's the satire. Jana I shared with Ichoboy picha za Uthiru that he constantly calls a slum then one of them responded eti hizo ndio upgrades za slum tulifanya then mabwenyenye wakanyakua. Nilibaki tu nikicheka na kujiuliza upgrades zilifanyika lini Uthiru or whether there was anything to upgrade there. Yani middle income estates zao hazina tofauti na kibich na zile zetu wanaita slums they can't even afford to live in. Unasikia mtu anasema eti Uthiru na Ruai ni slums wakati nyumba ziko kule he can't even afford