Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂Si niwe tu ulisema utaamini expressway inajengwa ukiona construction board,,zidi kuhesabu miaka utajua hujui😁😁
Express way inajengwa na mchina kwa fedha yake na ataimiliki kwa miaka 30 na mutatoa ushuru kwa miaka 30 bado unakenua meno wakat mumeingia mkenge tayar kama SGR🤣
 
Express way inajengwa na mchina kwa fedha yake na ataimiliki kwa miaka 30 na mutatoa ushuru kwa miaka 30 bado unakenua meno wakat mumeingia mkenge tayar kama SGR🤣
Ulitaka tujengewe bure kama ubungo na tazara😁😁 we arent used to handouts
 
Hehe,,Thika superhighway itakuwa mtoto kwa expressway,,wait for it to be completed,, Nairobi will never be the same again 😍😍😍👏👏#uhurunakazi
Na wenye 16 lanes waite nn kma hio 8lanes inaitwa super?? 😂😂😂 au ndio maana ile ushuzi mliofungua juzi mukaita ultra modern👇👇👇👇👇
A86E1702-904C-47D3-91F4-E2DE2B3C11C4.jpeg
1E85A035-5B70-4B56-9EB2-58BFAF7728B2.jpeg
 
Miaka 30 utakuwepo wewe ??? Mlo mmoja kwa siku stress za maisha mia mbili kichwani hapo hapo kazi huna, hospitalini hakuna tiba bora alaf unategemea nm chezea mchina historia inajirudia tena
Nilifikiria milele kumbe ni kitu cha miaka thelathini tu..tetete!!sasa unaumwa nn na vitu km hvo
 
Na wenye 16 lanes waite nn kma hio 8lanes inaitwa super?? 😂😂😂 au ndio maana ile ushuzi mliofungua juzi mukaita ultra modern👇👇👇👇👇 View attachment 1780145View attachment 1780146
Vipi ile stadium morocco walisema watajenga bure kule dodoma 😂😂😂
Watanzania kwa kupenda kutembeza bakuli. Siku uhunye akija bongo mtaomba awajengee thika super highway😂😂😋
 
Back
Top Bottom