Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂Si niwe tu ulisema utaamini expressway inajengwa ukiona construction board,,zidi kuhesabu miaka utajua hujui😁😁
Express way inajengwa na mchina kwa fedha yake na ataimiliki kwa miaka 30 na mutatoa ushuru kwa miaka 30 bado unakenua meno wakat mumeingia mkenge tayar kama SGR🤣
 
Express way inajengwa na mchina kwa fedha yake na ataimiliki kwa miaka 30 na mutatoa ushuru kwa miaka 30 bado unakenua meno wakat mumeingia mkenge tayar kama SGR[emoji1787]
Kumbe sio milele[emoji23][emoji23]
 
Express way inajengwa na mchina kwa fedha yake na ataimiliki kwa miaka 30 na mutatoa ushuru kwa miaka 30 bado unakenua meno wakat mumeingia mkenge tayar kama SGR🤣
Ulitaka tujengewe bure kama ubungo na tazara😁😁 we arent used to handouts
 
Hehe,,Thika superhighway itakuwa mtoto kwa expressway,,wait for it to be completed,, Nairobi will never be the same again 😍😍😍👏👏#uhurunakazi
Na wenye 16 lanes waite nn kma hio 8lanes inaitwa super?? 😂😂😂 au ndio maana ile ushuzi mliofungua juzi mukaita ultra modern👇👇👇👇👇
A86E1702-904C-47D3-91F4-E2DE2B3C11C4.jpeg
1E85A035-5B70-4B56-9EB2-58BFAF7728B2.jpeg
 
Miaka 30 utakuwepo wewe ??? Mlo mmoja kwa siku stress za maisha mia mbili kichwani hapo hapo kazi huna, hospitalini hakuna tiba bora alaf unategemea nm[emoji1787][emoji1787][emoji1787] chezea mchina historia inajirudia tena[emoji116][emoji116][emoji116]
Nilifikiria milele[emoji23][emoji23] kumbe ni kitu cha miaka thelathini tu..tetete!!sasa unaumwa nn na vitu km hvo
 
Na wenye 16 lanes waite nn kma hio 8lanes inaitwa super?? 😂😂😂 au ndio maana ile ushuzi mliofungua juzi mukaita ultra modern👇👇👇👇👇 View attachment 1780145View attachment 1780146
Vipi ile stadium morocco walisema watajenga bure kule dodoma 😂😂😂
Watanzania kwa kupenda kutembeza bakuli. Siku uhunye akija bongo mtaomba awajengee thika super highway😂😂😋
 
Back
Top Bottom