Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vipi ile stadium morocco walisema watajenga bure kule dodoma 😂😂😂
Watanzania kwa kupenda kutembeza bakuli. Siku uhunye akija bongo mtaomba awajengee thika super highway😂😂😋
Mbona hajajenga bure sasa😀😀😀 kwan hukumsikia magufuli alisema kama wanachelew kutoa fedha serekali itatoa fedha zake na kazi imeanza 🤣🤣👇
 
Ywataka hvo
Hata masoko pia wanajengewa bure, alafu wanakuja kutaka kushindana nasi
Malazy wadaiwa na mkulima binafsi from SA, kila siku wanampiga chenga mara ooh njoo kesho, mara tumejenga na madarasa, full aibu 😁😁
 
Inafika salama kwa nani ???
Kumbe ilipata ajali
Wivu mbaya, sgr ni ya wakenya wala sio ya serekali ya kenya...mizigo km inafika poa na watu wanafanya yao kodi inalipwa wee unaumwa kw lipi haswa..punguza hasira jamani
 
Malazy wadaiwa na mkulima binafsi from SA, kila siku wanampiga chenga mara ooh njoo kesho, mara tumejenga na madarasa, full aibu 😁😁
Mbona hakushinda kesi sasa kama anadai ashinde kesi kwanza tujue unafkiri sheria za ardhi tanzania zinasemaje??🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom