Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani SGR muliambiwa milele [emoji1787][emoji1787] mavi yanawatoka hata miaka 5 bado
Haipigi kazi[emoji23][emoji23]
Mizigo ya wakenya si inafika salama na biashara za watu zinaenda vizuri na kodi inalipwa vizuri..au namna gani wajameni[emoji2960]
 
Haipigi kazi[emoji23][emoji23]
Mizigo ya wakenya si inafika salama na biashara za watu zinaenda vizuri na kodi inalipwa vizuri..au namna gani wajameni[emoji2960]
Inafika salama kwa nani ???🤣🤣👇👇👇
 
Vipi ile stadium morocco walisema watajenga bure kule dodoma 😂😂😂
Watanzania kwa kupenda kutembeza bakuli. Siku uhunye akija bongo mtaomba awajengee thika super highway😂😂😋
Mbona hajajenga bure sasa😀😀😀 kwan hukumsikia magufuli alisema kama wanachelew kutoa fedha serekali itatoa fedha zake na kazi imeanza 🤣🤣👇
 
Ywataka hvo[emoji23]
Hata masoko pia wanajengewa bure, alafu wanakuja kutaka kushindana nasi
Malazy wadaiwa na mkulima binafsi from SA, kila siku wanampiga chenga mara ooh njoo kesho, mara tumejenga na madarasa, full aibu 😁😁
 
Inafika salama kwa nani ???[emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
Kumbe ilipata ajali[emoji23][emoji23]
Wivu mbaya, sgr ni ya wakenya wala sio ya serekali ya kenya...mizigo km inafika poa na watu wanafanya yao kodi inalipwa wee unaumwa kw lipi haswa..punguza hasira jamani
 
Malazy wadaiwa na mkulima binafsi from SA, kila siku wanampiga chenga mara ooh njoo kesho, mara tumejenga na madarasa, full aibu 😁😁
Mbona hakushinda kesi sasa kama anadai ashinde kesi kwanza tujue unafkiri sheria za ardhi tanzania zinasemaje??🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom