eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,802
- 16,475
So ww na mzungu nani anaeona zaidi yani mzungu afunge sattelite zaidi ya 500 hewani asione slum dar aone za dunia nzima ikiwemo nairobi 🤣🤣🤣🤣🤣 nilishakwambia neno slum tanzania halipo huku tuna tatizo moja tu unplanned sattlemnet lakini social service zote zipo njia zipo na accommodation zipo
Siyo services tu mkuu, na pia cross sectional value of properties is not uniform across the neighbourhood. Kwa mfano Manzese kuna mijengo ya hadi TZS 1 billion. Lkn ukienda mathare, despite of unpleasant neighbourhood, nyumba zote zina almost equal value. Wakati kila mtu kajijengea mwenyewe. Utafikiri walipewa specification ya full suit.
🤣🤣🤣