Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo maana wakasema hamna akili. Sasa huyu wenu pia ni MJ. Hawezi fanya lake akili hazimruhusu hadi aige ya wenyewe???
So michael jackson hakua na akili wakat alitikisa dunia ??😃😃😃 si ndio maana nilikwambia hilo vazi hata historia yake ulikua huijui najua umeshangaa sana, kwenu history munafundishwa mashamba ya miraa asili yake basi
 
lengo lake ni nyie kumuongelea.. na amefanikiwa katik hilo [emoji817]
Sio harmonize pekee ni wasanii wote tanzania wamefanikiwa 🤣👇👇
9DF92DF6-784D-47E5-8E93-AE73CB6E0949.png
90974398-8459-4114-A3ED-A03597ED4DAF.png
918C1888-945A-4EC4-AE93-37429901E358.png
 
Very few ports in Africa can compete with The Port of Mombasa. Improvements as still ongoing to make sure it competes favorably with Durban SA
ExVoeirWUAIG_qD.jpg


ExVoefvW8AEqjJ0.jpg


E0O1FePX0AUt-Zj.jpg


mUo3pnx.jpg
 
So michael jackson hakua na akili wakat alitikisa dunia ??😃😃😃 si ndio maana nilikwambia hilo vazi hata historia yake ulikua huijui najua umeshangaa sana, kwenu history munafundishwa mashamba ya miraa asili yake basi
Kwenye mtihani, mara nyingi wakukopi hana akili, ndo ivo. Wengine hukopi hadi jina, akili za Wabongo hizo!!!
 
Kwenye mtihani, mara nyingi wakukopi hana akili, ndo ivo. Wengine hukopi hadi jina, akili za Wabongo hizo!!!
Kwa age yako je ulijua amecopy?? Vijana wengi sana hawakua na idea hio kua amecopy 😁😁😁😁 tatizo ww hupendi mafanikio yake lakini ndio kashatoka tayar na ni miongoni mwa wasanii matajiri sana east africa 😅😅😅
 
Kwa age yako je ulijua amecopy?? Vijana wengi sana hawakua na idea hio kua amecopy 😁😁😁😁 tatizo ww hupendi mafanikio yake lakini ndio kashatoka tayar na ni miongoni mwa wasanii matajiri sana east africa 😅😅😅
Aibu, aibu kama Diamond kukopi Saida Karori Nyimbo zake, Aibu tuuu kama Diamond kukopi yule MJ kwenye nyimbo zake. Eti ajaribu moon walker?? Aibu aisee!!!!!!!!! Watanzania yani hamna akili zenu lazima muige??????
 
Kuna mtu sijamuelewa hapa kwenye forum, husema kwamba mzungu akisema kitu ndo hivyo basi??? Akili gani hii??? Kwani mzungu ndiye mungu wake au vipi??? Akasema hapa kuwa mzungu amesema Umoja, Donholm yani Eastlando in Nairobi ni Slum. Sawa iwe ni slum, na kama hapa ni Slum, Dar ita itwa nini??????? Maana hapa pameshinda Dar mara Ishirini.

E0EXHvGWQAI1wOt.jpg


E0EXHu7XoAUHixn.jpg


E0EXHvDXoAATBMh.jpg



Kama nadanganya, mtu achukue muda wake akatazame zile video humu za ujenzi wa SGR Dar. Zina aerial views nzuri za kufunga mjadala.
 
Ngong Road, Joins Nairobi City Center to Ngong. Ngong is in Kajiado county but under the wider Nairobi Metropolitan area led by General Badi
Ez9jD3kWEAEpLo5.jpg
 
Nairobians can now view Mt. Kilimanjaro from Nairobi along the new ICD Road in Nairobi
E0s467pXEAAmDGE.jpg
 
Back
Top Bottom