Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Sio rahisi kihivyo.Yani Kenya watakuja kutumia Rasilimali ZETU kutajirisha nchi yao alafu sisi serikal yetu inafuraia Ajira za mishahara ya laki laki yani kwenye Rasilimali ZETU tunapata asilimia 1% ya 100 alafu 99% zinaenda Kenya kwa kutupoza wanasema tukauze maind [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alichofanya Samia ni kutuliza lile joto aliloliweka jiwe ila kiuhalisia haitakuwa rahisi hivyo.