Tanzania steering wheel ya magari zenu zipo upande gani? Kushoto au kulia?
both
Tanzania steering wheel ya magari zenu zipo upande gani? Kushoto au kulia?
Hoja kwishaa[emoji23][emoji23]..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kamuulize yeye hilo swali
Kwn nyie mnamjua huyo jomba, hamujui yake kwhyo tulizeni viuno[emoji23][emoji23]Bei ya Bugatti Bei gani wakulungwa [emoji23]
Umekasirika[emoji23][emoji23]Wewe jionee tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui mombasa atanidanganya nn huyo kilazaView attachment 1775250View attachment 1775251
Hii nita edit hapa[emoji23][emoji23]nipe na details nani kasema tuongezee na kabisa12000 jobs for tanzanians[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Tunakuja tz kw wingi mama keshaachia sasa[emoji23][emoji23]Mbona mulizuia mazao boarder sasa na sasa mbona mumeyarushusu kama hatuwalishi nyinyi mafala [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1775218
Tuonyeshe tope hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] funga acc sasa unasubiri nn
Yani mzungu afunge sattelite zaidi ya 1000 hewani asione slum dar aje aone nairobi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushuzi juu ushuzi unashangaa nyumba za tope mombasa hahahahahahahha picha hii hapa inajiongelesha hya lia sasa View attachment 1775202View attachment 1775203View attachment 1775204
Lkn mtazani anapompenda mkenya ni mpinzani na wala hana niya nzuri na nchi yakeSaaafi uhuru. Muage mgeni.
Ila nilichogundua, kila rais tunayekuwa naye, makundi makubwa ya wakenya wanampenda. Mfano Magufuli, alipoingia tu madarakani, watu wakaandamana wakisema wanataka rais kama Magufuli nchini kenya. Pia JPM alipikufa, watu kotekote Kenya wakahuzunika sana, mpaka kuna mama mmoja toka Kenya, alienda Tanzania kwenye maombolezo.
Sasa kwa mama Samia, mahaba ndiyo yameongezeka balaa. Hata wanawake ambao aghalabu hawapendani, nao wamekuwa na hisia za kufurahia na kumpenda.
Inafurahisa sana na kupendeza.
[emoji23][emoji23][emoji23] Wenyewe wanapata Africa Bangladesh [emoji116]. [emoji23][emoji23]. Yosef Festo njoo uku ujibu hoja Mombasa umechokaaa
Du hatari hii.....Mkuu vitasa vya moto sana hivi ebu punguza temperature kidogo.....majirani zetu hao Mkuu....640b rural water project [emoji1241][emoji1241][emoji1241]
wengine mpaka state house hakuna maji[emoji1787]
Boy ichoboy01....vitasa ulivyotupia hapo juu vya moto sana boy...si ungewahurumia majirani uvipachike keshoKwann wasimchukie magufuli [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwenye tweet za maana uko vizur[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241] Baada bomba la mafuta sasa tuko kwenye bandari tunafanya yetu
Asante sana museven
Nairobi ni ushuzi sn wallahi, yn eneo lote hilo lipo empty aisee alafu bora kungekuwa tarmacked km Dar, lkn ni dongo tu mwa mwi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Expressway Westlands,hii ata kulipa 100yrs naweza,,kitu safi ,[emoji39][emoji39][emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23]
View attachment 1774955
View attachment 1774957
Kwamba Azam ana viwanda ulaya, hivi wkt unanijibu ilikuwa shuzi limekubana nn [emoji1787][emoji1787]Unafikiria anatoa bidhaa Tz moja kwa moja ama anawekeza na kutengeneza huko huko?.,[emoji23][emoji23][emoji23] Nyie kawadharau anawatengenezea vitu uchwara[emoji23][emoji23]
Kwamba $1.7usd ndio mmeushika uchumi, Wakenya kweli mnaumwa safura [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waliopinga hapa kuwa uchumi wa Tanzania imeshikiliwa na Wakenya wapo wapi.
Bwana wenu Mwarabu Rostam Aziz ametufungia hilo.
View attachment 1774983
Cku hizi Wakenya mnajitahidi kuongea kiswahili fasaha, nimeangalia jinsi ulivyotiririka hapa nkaona sarufi kdg imekuingia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]eliakeem inaonekana unadhani Wakenya wote ni masikini wa kutupwa. Huwezi kujua maisha ya watu binafsi huku JF. Huwezi kujua nani anamiliki nini.
Tutamkumbuka daima kwa mazuri.Matunda ya jpm haya jamani dash adi raha
We nae upimbi gn huu unauliza, yn wewe Tony mda mwingine huwa unakuwa mtopolo kweli kweli.Tanzania steering wheel ya magari zenu zipo upande gani? Kushoto au kulia?