Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_1620295046.208767.jpg
IMG_1620295059.637764.jpg
 
Yani Kenya watakuja kutumia Rasilimali ZETU kutajirisha nchi yao alafu sisi serikal yetu inafuraia Ajira za mishahara ya laki laki yani kwenye Rasilimali ZETU tunapata asilimia 1% ya 100 alafu 99% zinaenda Kenya kwa kutupoza wanasema tukauze maind [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hamuna kende ata kidogo ni domo domo, kama mko na uwezo si mgefungua tupatane uso kwa uso, mko ovyo hakuna chenye unaniambia wewe😂😂😂., na bado tutawatafuna, wakulima wanaleta mazao yao kwa bei uchwara, raw materials pia, we process into finished goods and export as made in Kenya and make dollars, idiots!😂😂😂😂 Mumeingia box kirahisi sana!😂😂😂
We kichaa Yosef Festo heb taja bidhaa ya kiwandani ya chakula inayoijulikana EA ambayo ni kenyan made 😂😂😂. We jamaa ni zuzu sana .. hakuna hata bidhaa yenu moja inayoijulikana kulinganisha na bidhaa za viwandani bongo, ni vichekesho na kujiwehusha
 
Hatutaki kukuja into poverty stricken country, tunataka mlete raw materials haraka upesi., Kaeni huko huko kwa poverty na low life., superstition and mediocrity.., naah we don't want., It is your resources we are after not your country, get it clear, and we have them💪😝😅😅😅
Ila wew jamaa wewe dah .. unanichekesha sana 😂😂😂 sasa bidhaa za kenya popular ziko wapi mbona hata hazijulikani, soko la EA nowadays lote limetamalaki bidhaa zetu.. yani tuna brand kubwa kichele ambazo bidhaa zake ndio bidhaa popular Africa na ndio zinatumiwa sana we ar no longer exporting raw materials, kama ni mahindi,vitunguu sijui hivyo ni vyakula ambavyo nyinyi mnatununuza ili mule not otherwise 😂😂😂 kwa viwanda vya uzalishaji nowdays hamtuwezi, mkibisha tunakuja kwenye battle la viwanda tuone Kati ya sisi na nyinyi nani anauza raw materials kudadeki .. twende kazi, bidhaa uone leo tunavyowaaibisha
 

Saaafi uhuru. Muage mgeni.
Ila nilichogundua, kila rais tunayekuwa naye, makundi makubwa ya wakenya wanampenda. Mfano Magufuli, alipoingia tu madarakani, watu wakaandamana wakisema wanataka rais kama Magufuli nchini kenya. Pia JPM alipikufa, watu kotekote Kenya wakahuzunika sana, mpaka kuna mama mmoja toka Kenya, alienda Tanzania kwenye maombolezo.
Sasa kwa mama Samia, mahaba ndiyo yameongezeka balaa. Hata wanawake ambao aghalabu hawapendani, nao wamekuwa na hisia za kufurahia na kumpenda.
Inafurahisa sana na kupendeza.
 
Oya wa tz huyu mjomba Yosef Festo kadai eti tunawauzia raw materials wao wanazalisha finished goods then wanauza mbele 😂😂😂 sasa leo hii ni kuwaonyesha kwamba hata kwenye viwanda (vya kuzalisha chakula na vinywaji) tulishawapita mbali sana. Bidhaa za shambani zinazoenda kwao ni extra huku kwetu, zimetosha kula na pia zimetosheleza viwanda vyetu, so ziada ndio tunawapelekea
 
😂😂😂😂Lia hadi basi., Mombasa sio Dar , ukipata nyumba ya tope in that area hapo nafunga account., Dar is slum in EAC😂😂😂., vumilia na usonge mbele, Kiswahili punguza, wacha picha ijiongelee.,
🤣🤣🤣🤣🤣 funga acc sasa unasubiri nn
Yani mzungu afunge sattelite zaidi ya 1000 hewani asione slum dar aje aone nairobi 😂😂😂😂😂😂😂 ushuzi juu ushuzi unashangaa nyumba za tope mombasa hahahahahahahha picha hii hapa inajiongelesha hya lia sasa
25E86B43-74F3-4E72-B1D9-3097DF51EE90.png
EE638F49-405C-4213-B0F3-4296E594A13F.jpeg
3684E23E-487C-4780-8A1E-2E3B0246A872.png
 
Watu wa roho mbaya ni watanzania, wengi wamenuna, as we appreciate, mko ovyo vichwani., Kenya is a big brother Tanzania is a whining baby😂😂😂😂., jiangalie kwanza, chunguza vile raiya wenu na viongozi wanavyofikiria😂😂😂, pole bro, hii tabia yenu sio laana ni ujinga tu, na dawa iko.,😂😂😂.,
Roho mbaya duniani ilizaliwa kenya hilo liko wazi 🤣🤣🤣🤣
 
An idiot again exposes ignorance😂😂😂, jiulize ni siku gani Tanzania ililisha Kenya?., Yaani mlivuna mkatupa bure..,😂😂., ama mkatoa msaada.,😂😂 Mko ovyo kila sector, uwezo hamuna wakulima ndio fukara zaidi😂😂😂 tusiponunua hawawezi kuvaa chupi, pesa ya kunua sukari na sabuni watatoa wapi?., Taifa ni kama linaishi chini ya laana😂😂😂., many resources but zero productivity 😂😂😂., jichunguze wewe mkorofi😂😂😂😂., wacha nikucheke tu, uko very desperate kutetea maiti(Tz)😂😂😂
Mbona mulizuia mazao boarder sasa na sasa mbona mumeyarushusu kama hatuwalishi nyinyi mafala 😂😂👇👇👇👇
7EE51F3C-79DE-4301-8A36-B42F6377EBAC.jpeg
 
Ila wew jamaa wewe dah .. unanichekesha sana 😂😂😂 sasa bidhaa za kenya popular ziko wapi mbona hata hazijulikani, soko la EA nowadays lote limetamalaki bidhaa zetu.. yani tuna brand kubwa kichele ambazo bidhaa zake ndio bidhaa popular Africa na ndio zinatumiwa sana we ar no longer exporting raw materials, kama ni mahindi,vitunguu sijui hivyo ni vyakula ambavyo nyinyi mnatununuza ili mule not otherwise 😂😂😂 kwa viwanda vya uzalishaji nowdays hamtuwezi, mkibisha tunakuja kwenye battle la viwanda tuone Kati ya sisi na nyinyi nani anauza raw materials kudadeki .. twende kazi, bidhaa uone leo tunavyowaaibisha
Huyo ni kilaza wa aina yake kenya nzima hana tofaut na huyu dada komora096 🤣🤣🤣
 
Oya wa tz huyu mjomba Yosef Festo kadai eti tunawauzia raw materials wao wanazalisha finished goods then wanauza mbele 😂😂😂 sasa leo hii ni kuwaonyesha kwamba hata kwenye viwanda (vya kuzalisha chakula na vinywaji) tulishawapita mbali sana. Bidhaa za shambani zinazoenda kwao ni extra huku kwetu, zimetosha kula na pia zimetosheleza viwanda vyetu, so ziada ndio tunawapelekea
Muulize ni raw marerial gani sisi tunawauzia na wao wanazalisha nn akikujibu nitag 🤣🤣
 
Back
Top Bottom