Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Best swahili city in the world
Mwanza bado inazidi kuhemeshwa na old townMm niwakimbie nyinyimzee wa no one way street in mombasa mamaeee ulaona watu washamba hawajawah kufika kwenye huo ushuzi
jibu lipatikane



Hicho kiatu nlikua nakipita tu walaiKuna mmoja alipost viatu akaandika " eti made in tanzania" hapo ndo nkajua kumbe nadeal na washamba. Haya made in kenyaView attachment 1706876View attachment 1706877


Mwanza jana tumeshaifukia katika kaburi la sahauHaujui ndio wana amka, vitu vya zamani ndio kwa sasa ni ya ajabu kwao., hapo kwa viatu tulipita zamani sana, Kuna siku pia mtu kapost modern trucks za kuzoa takataka in towns and cities, Kama zile za kanjo kwa kushangilia, things we had from 90s, vitu za kitambo sana anasema Kenya havipo amefurahi kishenzi, nilijua Tz ndio wametoka porini juzi wanashangaa shangaa na mambo, flyovers zinawapa orgasm, hadi Diamond Platinumz mwenyewe kwa interview moja amebambika na flyover ya kwanza Tz
., outside Dar hakuna any ya maana sana., Si umejionea Mwanza mwenyewe, hapo ata mtu alete Kiswahili haikomboi Mwanza
, Dar pia watch drone views zote kwa youtube, no comparison with Nairobi at all!!, lakini wakiweka picha on carefully selected angles na zimelishwa filter they can only fool wenye hawajafika Dar., can't compare to Nairobi
![]()

eti nayo city aisee..Saudia wana mafutaSasa hutaki tuseme ukwelisaudia ni 100% jangwa na sijwah sikia wakiomba msaada wa chakula badala yake hao hao wanawaletea nyinyi msaada wa chakula
tafuteni mtu aliewaroga nyinyi
![]()
Uhuru trolled for receiving ‘food rations’ from UAE
President Uhuru Kenyatta has been trolled by Kenyans on social media, after he announced that the country has received food donations from the UAE.nairobinews.nation.co.ke
![]()
Citizen Digital - Breaking News, Latest News, Kenya Politics, Business, Sports & TV
Citizen Digital is Kenya's leading news source for latest breaking news, Kenya politics, business, sports, entertainment, podcasts, and live TV & radio.citizentv.co.ke
Juzi nilipost shamba letu hapa mkapita kimya kimyaArable land inamilikiwa na politician pamoja na white foreigners kazi yao kupanda maua kupeleka kwao abroad alaf wanabakiza wakenya na njaa alaf unasingizia ardhihakuna mjinga humu



Inaitwaje hyo slumUnazungumzia another city with slums
View attachment 1706946View attachment 1706947View attachment 1706948View attachment 1706949View attachment 1706950







Mwanza km mwanza tayari ni damposiku utapata dampo site ya kisasa kama hiyo kenya nzima nitag


Umepanic, fanyeni mpango mkaifute ile drone view hko youtube manakw ni aibu aisee..Kwe kwe kwe kwe hamu huna hutak iwe mwanza kale kamsemo ka tanzania ya 90s naona kameisha siku hziiii
Haya kwanzia leo tunaota mama ngina city


Banae, yani nafeel aibu kubishana nao maana tunajishusha cheo sana. Hawana ubavu kabisa wakushindana na sisi. Viatu karne hii.Hicho kiatu nlikua nakipita tu walai
Jamaa mpka wanatia huruma aisee, 2021 bado wanashangaa na viatu
Naiona 3G apoInaitwaje hyo slum
Najua uliingia google ikashindikana, emh leta ile google earth yako unayojitapa nayo tuone hzo slums
Mzungu sio mjinga km usemavyo..
Google pia hujui kutumiaView attachment 1707135








Hehehehee siutoke jamii forums nani aliyekushika trakoo mpk ung'ang'anie humu?Banae, yani nafeel aibu kubishana nao maana tunajishusha cheo sana. Hawana ubavu kabisa wakushindana na sisi. Viatu karne hii.














Si mi ndio nimewekaNaiona 3G apo![]()


ona wi-fi na 4G pia..



