Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Best swahili city in the world
13107282_sheheenamarinazpsa74391c1_jpeg6eaba60ad5e0836d956543e8bf42f461.jpeg
13121869_img20210210113204_jpeg20a6f755656e1bc6df067718555f7ca6.jpeg
13083331_2261944img20200104211234_jpeg5cf862cb522f39c2b930afb6ac15dd61.jpeg
 
Mm niwakimbie nyinyi mzee wa no one way street in mombasa mamaeee ulaona watu washamba hawajawah kufika kwenye huo ushuzi

jibu lipatikane
Mwanza bado inazidi kuhemeshwa na old town
Mji mchafu kweli walai, upupu mtupu mpka majengo machafu
 
Haujui ndio wana amka, vitu vya zamani ndio kwa sasa ni ya ajabu kwao., hapo kwa viatu tulipita zamani sana , Kuna siku pia mtu kapost modern trucks za kuzoa takataka in towns and cities, Kama zile za kanjo kwa kushangilia, things we had from 90s, vitu za kitambo sana anasema Kenya havipo amefurahi kishenzi, nilijua Tz ndio wametoka porini juzi wanashangaa shangaa na mambo, flyovers zinawapa orgasm, hadi Diamond Platinumz mwenyewe kwa interview moja amebambika na flyover ya kwanza Tz., outside Dar hakuna any ya maana sana., Si umejionea Mwanza mwenyewe, hapo ata mtu alete Kiswahili haikomboi Mwanza, Dar pia watch drone views zote kwa youtube, no comparison with Nairobi at all!!, lakini wakiweka picha on carefully selected angles na zimelishwa filter they can only fool wenye hawajafika Dar., can't compare to Nairobi
Mwanza jana tumeshaifukia katika kaburi la sahaueti nayo city aisee..
Kw hali ile uongo
 
Sasa hutaki tuseme ukweli saudia ni 100% jangwa na sijwah sikia wakiomba msaada wa chakula badala yake hao hao wanawaletea nyinyi msaada wa chakula tafuteni mtu aliewaroga nyinyi
Saudia wana mafuta
 
Arable land inamilikiwa na politician pamoja na white foreigners kazi yao kupanda maua kupeleka kwao abroad alaf wanabakiza wakenya na njaa alaf unasingizia ardhi hakuna mjinga humu
Juzi nilipost shamba letu hapa mkapita kimya kimya
 
Kwe kwe kwe kwe hamu huna hutak iwe mwanza kale kamsemo ka tanzania ya 90s naona kameisha siku hziiii
Haya kwanzia leo tunaota mama ngina city
Umepanic, fanyeni mpango mkaifute ile drone view hko youtube manakw ni aibu aisee..
Eti mwanza downtown uozo mtupu
 
Hicho kiatu nlikua nakipita tu walai
Jamaa mpka wanatia huruma aisee, 2021 bado wanashangaa na viatu
Banae, yani nafeel aibu kubishana nao maana tunajishusha cheo sana. Hawana ubavu kabisa wakushindana na sisi. Viatu karne hii.
 
Vitu ambavyo Wakenya wa JF huwa vinawanyima raha pale vinapozungumziwa;
-Slums
-Kutokuwa na uhakika wa mlo
- Gap kati ya maskini na matajiri
-Ukabila
-Uchafu uliokithiri
-Madeni
..........
Ni wakati mwafaka wa kujiuliza ni hatua gani zichukuliwe ili kuondokana na kadhia hizo.Pia Majirani mkihitaji mawazo tunaweza kuwasaidia,japo kuna baadhi ya maamuzi inabidi yawe magumu sana ili mtoke huko😃 kubisha bisha kila siku humu JF hakuwasaidii kuondokana na hayo matatizo.
 
Back
Top Bottom