evart
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 2,838
- 2,774
Maneno ya mkosajiunatupotezea wakati na that tiny town.
Maneno ya mkosajiunatupotezea wakati na that tiny town.
Kakimbia huyooooo na Machakosi yake. Nilikwambia usiliamshe dude la Arusha nahapo sijafika hata robo. Arusha tourist planes. Zipo kama maji baharini. Machakos na Eldoret mpoooo.unatupotezea wakati na that tiny town.
ELIMU,ELIMU,ELIMUsasa Dar ni coastal city na Nairobi ni inland city, ulitegemea Nairobi iwe na kisiwa kivipi
mbona hawa wakenya kazi wanayoUbungo interchange Dar es salaam, Ujenzi unaendelea
View attachment 540020 View attachment 540021 View attachment 540022
Tunavyo vingi sana vya kujivunia mf; daraja la kigamboni
TECNO-C5 Wereva
MahindiKigamboni bridge only?
Show me this city automated cleaning trucks kama zipo Nairobi?? Hizo za Dar es salaam. If real your better than Dar es salaam. Usituletee malori yakubeba zege na mchanga. Automated cleaning trucks I need to see them from Nairobi.Uzuri wa mji ni usafi kwanza. Nionyesheni hapa. Nairobi hakuna kitu chakusema inaizidi Dar es salaamNairobi wins by far.
Kigamboni bridge only?? Mbona unasahau BRT. Hakuna Nairobi.Kigamboni bridge only?
Ndio lakini c kipo kitupu na hakina project yoyote.Mbudya island dar es salaam
View attachment 536621
Kunguni wewe unaongea kujipa raha au njaa inakusumbua hebu rudia ngapi????Sasa sai Mombasa ni 30 million tons nyinyi 2030 38 million????
sent from iPhone 7
Nimemwambia walau alete city cleaning trucks kama zinafikia za Dar es salaam. Mimi hawajamaa nawajua sana. Hupenda sana kudanganya. Awajui kwa sasa kuna mambo ya Internet nayamefanya uwongo wao uwe complicated. Mwisho wa siku wanapoteza.Who are you by the way. Do you think ninyi vijana kutoka Kenya mtawaweza vijana wa kibongo?
No no no no no. Jaribu tena. By the way umekula lakini dogo!? {in man voice}