Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar ikona malls kwenye residential estates? In Nairobi almost all popular estates got their own mall. Shopping and leisure brought right at your doorstep.
 
Ati Tanzania can beat kenya in shopping mall space lol
about-Tmall.jpg
capital centre.jpg
green house.jpg
greenspan-mall_0.jpg
highway_mall4.jpg
karen_crossroads_exterior.jpg
kmall.jpg
nakumatt_lifestyle1.jpg
nextgen.jpg
shujaa.jpg
taj1.jpg
the mall.jpg
the point.jpg
westgate.JPG
gateway.jpg
 
Dar bado ni upcoming hata IMAX bado hijafika huko. Wakue wapole watafika tu the level of the greats.
 
Dar bado ni upcoming hata IMAX bado hijafika huko. Wakue wapole watafika tu the level of the greats.
Mko Moo malls ngapi nairobi...total number ?nmetii Kwa malls
 
Mm nasema ukweli yes kwa malls Nairobi mmetuzid ...ila cha pili ni kwamba Knight Frank waliotoa hizo details za kua Dar ni 101,000sqm ni uongo ..cause Dar tuna over 300,000sqm for now ..and Nairobi has over 500,000sqm for now
 
Bro nimehesabu shopping space/retail place ...kama ningehesabu parking space na office space zngekua zaid ya hizo
unajua tanzania and kenya ni nchi mbili tofauti unapozungumzia malls sisi hatujazowea kwenda kwenye mall sisi tumezoa markets ndio maana dar kuna markets zaidi ya 50, sasa wenzetu uzungu umewajaa mpaka nyanya anafata mall definitely lazma iwe hvo....
 
Back
Top Bottom