Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nionyeshe post ambayo inasema BMA iko blacklisted, hivyo tu!
Wewe jamaa mbishi balaa,soma tena hapo nilipozungushia duara la kijani,vyeti vyenu avitambuliki kimataifa,IMO aikitambui iko chuo chenu so wanaosoma hapo wanafanya kazi ndani ya kenya tu,mkenya anayetaka kufanya kazi za meli nje ya kenya lazima aje Dar

Screenshot_20210503-164459_Chrome.jpg
 
Bandari Maritime Academy is equipped with a full mission bridge simulator, the Mistral 4000 – Merchant Marine Simulator. The simulator is certified as IMO STCW fully compliant by RINA as well as compliant with DNV-GL0033 as Class A simulators.😂
Ushamba kuwatoka wakenya itachukua muda

Nilishawaambia hakuna mpya yoyote Kenya Tanzania itatustua

images (30).jpeg
images (29).jpeg
images (28).jpeg
images (27).jpeg
 
Kiuchumi haiko sawa hata kidogo. Ni udhaifu tu wa viongozi wetu.

Hapo ni dhahili main accounts zao zitafunguliwa kwenye London banks kitu ambacho kitanufaisha uchumi wa Uingereza au Ulaya.

Anyway siyo mbaya sana maana wamejitahidi hata hivyo. Mbali na Magufuli hakuna kiongozi yeyote wa nchi hizi za kiafrika anaweza kwenda head on head na mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli alikua na Intel kubwa sana

Ni kosa la kiuchumi pesa zote za business kubwa kama hiyo kuwa kwenye nchi ya nje

Faida moja wapo kubwa ya fedha hiyo kuwa katika host country ni pamoja na kukuza ukwasi wa mabenki ya ndani na kuwezesha kuboost uchumi wa nchi husika

Mathalan kama kuna dollars million 500 imewekwa kwenye banks za ndani kunakua na catalyst kwenye International business wing, maana yake mfanyabiashara mtanzania anaweza kupata mkopo wa haraka na uhakika kwenda kununua mtambo wa kukoboa kahawa China au kununua technology yoyote nje ya nchi kutokana na kwamba pesa ya kigeni ipo kwa wingi

Tofauti na ambapo pesa ya kigeni ni mpaka utalii, export ndogo tu, serikali inaiangalia, private sector inaiangalia.
 
Jamaa wanashangaa kimtindo,ton 1 ya heroin kwa jeshi la africa how loyalty wasiweze kupigwa bribe ya maana wakawaachia hao drug dealers,hata DEA wenyewe pesa ambayo wangetaziwa hapo wangewaachia tu,TPDF ni jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu si wa kulinganisha na wauza mkaa wenu wa kule somalia
Sio kw ubaya hao mabeberu wana lao la msingi, tanzania ni nchi yenye asali na mziwa lazima ipigwe vita...wanafiki hao chungeni wasije wakafanya yao
 
Back
Top Bottom