ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kiuchumi haiko sawa hata kidogo. Ni udhaifu tu wa viongozi wetu.wataalam wa uchumi hii imekaa poa kusajiliwa UK?
kwa mtazamo wangu naona hapa M7 kazingua
Wakenya kuja Bongo sio tatizo, kila mtu ana choice yake, na anatumia hela yake sio ya serikali. Kitu ni mmekubali kuna chuo? Kiwe blacklisted venye unasema kiwe kwenye White list, hayo sio yangu. Na ukumbuke, hakuna anayeweza toa hela kwa shule haitoi elimu nzuri. Just think about that. Sahi sio 2007, nop! 🤣 🤣 😂In east africa chuo ambacho kipo kwenye whitelist ni,hui mchuo wenu uko kwenye blacklist,siku yake nenda pale kuna wacongo,wanaminia na wakunya wenzio
Nionyeshe post ambayo inasema BMA iko blacklisted, hivyo tu!In east africa chuo ambacho kipo kwenye whitelist ni,hui mchuo wenu uko kwenye blacklist,siku yake nenda pale kuna wacongo,wanaminia na wakunya wenzio
Mbona hamruhusiwi kuenda huko, sasa si mtu akirudi Bongo kusalimu raia na atake kurudi, balaa hiyo sababu hatoweza?
Viongozi wengi wa kiafrika hudhani diplomasia ni kuzurura huku na kule.sema nn, huyu awe anatulia ndan.. huko nje ndo kutamchanganya zaid.. hizo za nje amwachie hata Dr Mpango.. yeye atacheza nao vizur tu
As far as I know kuwekeza kwenye oil refinery ni suala la utashi tu na siyo lazima nchi iwe na oil reserves. Ndiyo sababu Nyerere alijenga refinery kwa ushirikiano na Italy pale Kigamboni sema ndiyo hivyo ikaja kuuawa.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Okay bro,
let's focus on the issue rather than personality.
Kuwekeza kwenye heavy industry like refineries ni jambo la muhimu sana. Tunapaswa kulifikiria sana.
Don't be frustrated, I will just share the same videos I shared with your country manAliekudanganya nani mama ngina 🤣🤣🤣 bahat nzuri sisi ni watanzania tunawajua mpaka chupi zenu za ndani, hapa sio nairaland
nangoja nione her diplomatic prowess huko Kenya!Kazi iendelee
Mbona hamruhusiwi kuenda huko, sasa si mtu akirudi Bongo kusalimu raia na atake kurudi, balaa hiyo sababu hatoweza?