Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imagine Madini yetu KE Ni untapped 96% Sjui tukiguza Tutakuwa wapi Tutapaa Kama vile Saudi.Imagine Kenya only rely kwa mimea pekee.Nyinyi TZ mnauza Madini Lakini sijui Pesa inapotelea wapi🤔
Endelea kujidanganya little crude oil Turkana, Magadi soda na Tsavorite wakina Uhuru wana-plunder!
 
Wee Mkikuyu wa bongo nini,? Ni mavi sio mafii. Mafii waachie waarabu! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Uko busy kuwai usafiri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] peleka mafii mbali
JamiiForums855515769.jpg
 
Barabara iliyopigwa Viraka kuonyesha quality yake sio nzuri ndio maana kuna maeneo yamerudiwa ( Angalia rangi mbili za barabara iliyopauka na iliyorudiwa) ila baada ya kupaka lami nyeupe ya Marking ni bonge la deal) kuna mtu anapost na ndio Quality Benchmark yake. [emoji23]

IMG_7155.jpg
 
Imagine Madini yetu KE Ni untapped 96% Sjui tukiguza Tutakuwa wapi Tutapaa Kama vile Saudi.Imagine Kenya only rely kwa mimea pekee.Nyinyi TZ mnauza Madini Lakini sijui Pesa inapotelea wapi🤔
Nope you rely on loans ndio maana mmekopa mara 20 ya Tanzania yet you went nowhere na hamna maendeleo yoyote ya kuibabaisha Tanzania

Note kwamba Tanzania imeanza kuchimba madini yake kuanzia 2000s na mpaka sasa ni 10% tu ya madini yaliopo Tanzania ndio yameguswa.
 
Barabara iliyopigwa Viraka kuonyesha quality yake sio nzuri ndio maana kuna maeneo yamerudiwa ( Angalia rangi mbili za barabara iliyopauka na iliyorudiwa) ila baada ya kupaka lami nyeupe ya Marking ni bonge la deal) kuna mtu anapost na ndio Quality Benchmark yake. [emoji23]

View attachment 1770034

ukipita hii barabara, gari linapiga kelele
 
Nope you rely on loans ndio maana mmekopa mara 20 ya Tanzania yet you went nowhere na hamna maendeleo yoyote ya kuibabaisha Tanzania

Note kwamba Tanzania imeanza kuchimba madini yake kuanzia 2000s na mpaka sasa ni 10% tu ya madini yaliopo Tanzania ndio yameguswa.
Ata France imekopa Mara 1000 yenu na hawajakufa.Na America Mara Millioni yenu. Sisi tunakopa na kufanya Mega projects Mingi sana Nchi nzima Yani ata siwezi amini
 
Waulizee wachina watakuelewesha
Nina marafiki wachina na usiwahi kudhani kuwa kila mchina anapenda communism! Violations za freedom of speech, religion etc zimetawala China!

China makanisa yanavunjwa, misikiti pia. And don’t get me started on the brainwashing and sterilization of Uyghur Muslims in Xinjiang!

Kwasababu wewe Ndio umesema kuwa demokrasia is an illusion, basi tueleweshe tukusikie.
 
Back
Top Bottom