Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


nimependa hio.. sijajua ni temporally au permanent
IMG_1619765552.570421.jpg
 
Mzee tuna kazi za kufanya Mzee. Yaani unakuwa na video unakisa picha mnato.
Tulia sasa ukipata hizo picha uje. Acha kukurupuka.
Haha.. Alright man. But you asked for evidence, now you are dictating the kind of evidence you need to be fully satisfied.

Let it rest then.
 
Haha.. Alright man. But you asked for evidence, now you are dictating the kind of evidence you need to be fully satisfied.

Let it rest then.
Mzee weka picha mnato mbona kitu rahisi tu. Ukileta kitu kizuri tunakupoleza. Ukileta takataka tunakupiga za uso.
 
Tuliza kalio lako kwa sasa tunafuatilia National Assembly ya CCM kuhusu kuchagua mwenyekiti.
View attachment 1768606View attachment 1768607View attachment 1768608
Kenya wamepigwa curfew na covid restrictions kibao wakati Tanzania tunapeta na uchumi unapaa

Hapo pesa nyingi zimeingia kwenye sector ya usafiri, accommodation, foods and refreshments, stationeries, media and printing, textiles na deals mpya, wakati wakenya wamepigwa kufuli, tukiwaambia sisi ni akili kubwa wananuna
 
Kenya wamepigwa curfew na covid restrictions kibao wakati Tanzania tunapeta na uchumi unapaa

Hapo pesa nyingi zimeingia kwenye sector ya usafiri, accommodation, foods and refreshments, stationeries, media and printing, textiles na deals mpya, wakati wakenya wamepigwa kufuli, tukiwaambia sisi ni akili kubwa wananuna
Usitumie tako kufikiria.
 
Kazi kula kitimoto na rosti - ndizi... Nyie wa Tz mtalegea. Pigeni ugali wa moto na nyama choma, mtie nguvu! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lakini ikija suala la vita bado tunashinda ila nyie mnaokula ugali wa moto mnaishia kuiba mikate [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom