Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Picha za upande upande za editing, bado sana kwenye interchanges, huu ndo uhalisia wenuView attachment 1768720
Mambo haya yanawaumiza sana wakenya. Itabidi mzoee tu.
IMG_20210430_104336.jpg
IMG_20210430_104339.jpg
IMG_20210430_104313.jpg
 
Nyinyi mna mazao kibao, si muwape lishe bora kwanza, huo mchezo sio wa kitoto ka hujafura vizuri! Sasa angalia kijana mkono soft, kumbo moja tu, ushavunja mkono wa dogo,! 🤣 🤣 🤣
Mbona wasomali wanawaweka kinyumba wanaume wa KDF mbaya kabisa? Kila siku KDF wanaolewa Somalia na alshabebi
 
😅😅😅 Kuna dogma walimezeshana eti Nyerere alisema Nairobi ni London ya wa Tanzania 🤣🤣🤣 wakati Tanzania maeneo mengi ni kama ulaya toka uhuru

Yaani Nyerere ndio wa kwenda kuishangaa Nairobi?
Ebu tuwekee hayo maeno ya lazyland kama ulaya tucheke kidogo🤔😂😂
 
Ebu tuwekee hayo maeno ya lazyland kama ulaya tucheke kidogo🤔😂😂
Tanzania ka Ulaya, pwahahahaha, huyo pumba hebu atembee kidogo atoke vijijini, ana akili kweli? Huko ni mbali, SA hapa tu, na bado hawafikii hata robo, dadeki nyie! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Tanzania ka Ulaya, pwahahahaha, huyo pumba hebu atembee kidogo atoke vijijini, ana akili kweli? Huko ni mbali, SA hapa tu, na bado hawafikii hata robo, dadeki nyie! 🤣 🤣 🤣 🤣
Tanzanians have the lowest IQ in east africa what do you expect, imagine Venus Star kwao yeye ni expert wa IT😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom