Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii nayo ni stadium?

Mpwapwa looks better

View attachment 1768419
Migori stadium ata iko afadhali kuliko hii takatak[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
images-53.jpg
 
Mimi nimekuelewa kiongozi,Masaki haikuwaplanned kuwa na majengo marefu marefu kama ilivyo sasa,siku hizi ofisi kila mahali na si makazi tena ile posh neighborhood....nimekua kwenye mazingira hayo utotoni mwangu so I know.

hio ni masaki sehem gan? nimeuliza hili swali sijapata jibu
 
Sisi huku tunayaita maeneo ya wazi, watoto wanacheza lede pale, yeye anaita Stadium 🤣 🤣🤣sijui ni uhaba wa ardhi!!!? Mstari wa Ikweta uliondoka na akili zao.
🤣🤣🤣 Imebidi nizame Google tu kuyaelewesha haya majitu pori 😂

Uwanja wa rede wanauita stadiums 😅

Screenshot_20210430-073550.png
 
Ngoja niwasamehe tu sababu kichapo mlichopata kinawatosha kabisa, siku nyingine mjue tu tukikaa kimya haimaanishi unyonge

Watanzania hatuna sifa ya bragging kabisa so when calm do not confusing with weakness, hakuna angle yoyote Kenya watatupita kwenye maendeleo

Tanzania ilikua power House ya huu ukanda tokea uhuru, msifikiri ndio tunatoka shimoni kama ninyi

Nyerere aliiacha hii nchi na maendeleo ya kufa mtu, sio viwanda vingi, mashamba makubwa, stronger cooperatives, miundombinu na hali nzuri ya maisha

Most of your mazizi yamejengwa juzi kati wakati Tanzania hizi stadium 90 percent zilijengwa na Nyerere

Ushirika Stadium Moshi

images (8).jpeg
images (7).jpeg
images (6).jpeg
images (5).jpeg
 
Ngoja niwasamehe tu sababu kichapo mlichopata kinawatosha kabisa, siku nyingine mjue tu tukikaa kimya haimaanishi unyonge

Watanzania hatuna sifa ya bragging kabisa so when calm do not confusing with weakness, hakuna angle yoyote Kenya watatupita kwenye maendeleo

Tanzania ilikua power House ya huu ukanda tokea uhuru, msifikiri ndio tunatoka shimoni kama ninyi

Nyerere aliiacha hii nchi na maendeleo ya kufa mtu, sio viwanda vingi, mashamba makubwa, stronger cooperatives, miundombinu na hali nzuri ya maisha

Most of your mazizi yamejengwa juzi kati wakati Tanzania hizi stadium 90 percent zilijengwa na Nyerere

Ushirika Stadium Moshi

View attachment 1768506View attachment 1768507View attachment 1768508View attachment 1768509
Sasa hivi wanachungulia na kutoka.
 
Sasa hivi wanachungulia na kutoka.
Hata hivyo yumewavumilia sana kwenye hii battle kwa sababu tulikua tunakubali tu watume mazizi yao sisi tunatuma standard stadiums

Japo bado nina stadiums za kutosha kibindoni ila acha niwasamehe tu sababu ni kama kupiga bomb mortuary 💣 ⚰️ ☠️ 🤣🤣🤣

Nitajipanga na battle ya viwanda sasa
 
Ngoja niwasamehe tu sababu kichapo mlichopata kinawatosha kabisa, siku nyingine mjue tu tukikaa kimya haimaanishi unyonge

Watanzania hatuna sifa ya bragging kabisa so when calm do not confusing with weakness, hakuna angle yoyote Kenya watatupita kwenye maendeleo

Tanzania ilikua power House ya huu ukanda tokea uhuru, msifikiri ndio tunatoka shimoni kama ninyi

Nyerere aliiacha hii nchi na maendeleo ya kufa mtu, sio viwanda vingi, mashamba makubwa, stronger cooperatives, miundombinu na hali nzuri ya maisha

Most of your mazizi yamejengwa juzi kati wakati Tanzania hizi stadium 90 percent zilijengwa na Nyerere

Ushirika Stadium Moshi

View attachment 1768506View attachment 1768507View attachment 1768508View attachment 1768509
Mumebaki kupost random picture tuu...ukiulizwa hizi pictures ni za viwanja vingapi utasema kipi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... kwenye viwanja wacheni tuu
 
Hata hivyo yumewavumilia sana kwenye hii battle kwa sababu tulikua tunakubali tu watume mazizi yao sisi tunatuma standard stadiums

Japo bado nina stadiums za kutosha kibindoni ila acha niwasamehe tu sababu ni kama kupiga bomb mortuary [emoji378] [emoji3545] [emoji3517] [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nitajipanga na battle ya viwanda sasa
Hii kesi tushamaliza kwa idadi kenya ina vingi sana
 
Mumebaki kupost random picture tuu...ukiulizwa hizi pictures ni za viwanja vingapi utasema kipi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... kwenye viwanja wacheni tuu
Yale magulio yenu yamekata? Muyapost tu nimewaachia podium
 
Back
Top Bottom