Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii hapa huwa inanifirisha sana.
images - 2021-04-27T220435.801.jpeg
 
Hehehehehe Wakenya tafadhali sana, tunaijenga Tz kwa mikono yetu wenyewe, hii ni Chang'ombe flyover ipo km hii pale uhasibu yn zinaenda parallel, kwamba hii ikiisha juwa kwamba na ya uhasibu nayo imeisha, pia hapo chini inapita BRT phase 2, kabla haijaisha kutakuwa na phase 3 nayo inaanza, kazi inaendelea wkt nyinyi mnatumia chopper kuzindua daraja la mbao [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG_20210423_170443_296.jpg
IMG_20210423_170446_951.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza, ningependa ku-address kauli ya request yako. Uzalendo wangu na realness yangu vinahusiana na nini na swali lako? Yaani unamaanisha kuwa kwasababu msimamo wangu uko kinyume na wa hayati Magufuli ndio maana mimi sio "real" ama mzalendo? Viongozi sio watakatifu na sio miungu na sio malaika. Baadhi ya policy zao sio effective and well thought out. Kwa hiyo mimi kuwa na msimamo tofauti na ule wa Magufuli kuhusi hili jambo haimaanishi kuwa mimi sio mzalendo kwa Tanzania, bali inamaanisha kuwa nina mawazo mbadala.

Okay, sasa twende kwenye sababu zangu za kupingana na sera ya kuwafukuza shule watoto wa kike waliopata ujauzito. Tanzania ipo sheria iliyopitishwa mwaka 2002 inayoruhusu ufukuzaji shule wa wanafunzi wanaofanya makosa kinyume na maadili (ngono) na pia wanafunzi wanaoingia kwenye ndoa. Na Magufuli alipoingia madarakani akashinikiza sheria hii kwa maneno yake mwenyewe kuwa hatoruhusu mwanaunzi yeyote aliyepata ujauzito kurudi shuleni. Lakini pia nataka utambue kuwa kauli hii ilikuwa kinyume na ilani ya CCM ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 iliyojikita kutengeneza mazingira ya kuwasaidia watoto waliopata mimba waweze kurudi shuleni.

Arguments zangu zimegawanyika kwenye vipengele viwili:

1. Ubovu wa sheria tajwa
2. Hasara zitokanazo na kufukuza shule watoto waliopata ujauzito


Kwa akili ya haraka haraka utaona tatizo la sheria tajwa hapo juu. Tukiweka pembeni tendo la ngono kati ya watoto kwa watoto (kwasababu hii ni consensual most of the time), "makosa kinyume na maadili" yanayokabili watoto yanahusisha watu wazima wanaoshawishi watoto wa kike na kuwapelekea kupata ujauzito, na pia kuna kesi za ubakaji. Kwa hiyo hata kama mtu mzima akimpa mimba msichana wa shule kwa ulaghai wa pesa ama chakula (kumbuka umasikini unachangia kwenye ulaghai), bado sheria itamfanya mtoto afukuzwe shule. Na sheria hii kandamizi bado inamlazimisha mshichana aliyebakwa na kupata mimba kuachishwa shule japokuwa kosa halikuwa lake! Pia usisahau kuwa sheria hii inawalenga watoto wa kike wanaoolewa wakiwa shule. Kwa hiyo hata zile ndoa za kulazimishwa na wazazi ( hizi sana sana hutokea kwenye jamii za vijijini), bado mtoto atafukuzwa shule. Na ndio maana mkisikia watu wanataka katiba mpya ujue mambo ya katiba ya sasa ni mabovu kiasi hiki.

Magufuli alikosea kushinikiza ufukuzaji wa watoto wa kike waliopata ujauzito shuleni na pia alienda kinyume na ilani ya chama chake mwenyewe. Obviously, he was very old-school ama kwa lugha ya mtaani mnaita "mkoloni." Na pia Magufuli alikuwa very religious, kwa hiyo mambo ya mimba shuleni kwake aliona ni kama dhambi. Na hivyo moja kwa moja akatoa kauli ya kusimamisha masomo wale watoto wa kike wanaopata mimba wakiwa shule. Suluhisho lake lilikuwa na nia ya kuleta hali ya uoga kwa wanafunzi nchi nzima ili wasijihusishe na matendo ya ngono ambayo hupelekea ujauzito. Lakini tatizo hili ni complicated sana kwasababu matendo ya ngono kati ya wanafunzi sio sababu pekee inayopelekea mimba za utotoni. Kama nilivyoeleza hapo juu, kuna umasikini, kuna ubakaji, na pia kuna mila na desturi za ndoa za utotoni. Na bila kusahau, jamii na familia zetu za kitanzania hazitoi elimu kwa watoto kuhusu ngono. Unakuta mzazi anamuacha mtoto ajiongoze mwenyewe kisa anaona aibu kuongea naye wazi wazi kuhusu mambo haya.

Ukimfukuza mtoto wa kike shule, unamsindikiza kwenye shimo la umasikini. Na cycle ya poverty inaendelea kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na haitaisha, unless kuwe na some sort of luck. Kiufupi approach ya Magufuli inalenga "kukomesha" ili kutoa fundisho kwa wengine. Lakini ukiangalia kiundani unamkomesha mtoto chini ya miaka 18 ambaye hana chochote cha kumuendeleza kimaisha maana ni mtu tegemezi. It's pathetic! Akitoka hapo anaweza hata akafukuzwa nyumbani kwao na unakuta anaishia kujiuza au kuuza karanga ili amlishe mtoto wake. Sio umasikini huu?

Kutokana na data za TAMISEMI, kumekuwa na ongezeko la watoto wanaopata mimba wakiwa shuleni. Kwa hiyo hii idea ya kufukuza mwanafunzi shule haina effect katika kutokomeza tatizo au kulipunguza.

Nitatoa mapendekezo yangu baadae tena. I am a very busy man.

Sasa ulitaka Magufuli avunje sheria ya bunge kwa kuwaruhusu wajawazito kusoma darasani kinyume cha sheria?
 
Tukimaliza phase zote 5 za BRT tutakuwa nchi ya mfano Afrika hii, mind u treni ya umeme mapema mwaka huu itakuwa ina operate, yn mtu anatoka Europe anatoka pale JNIA anapanda BRT mpk Pugu anadandia nyoka wa umeme all the way anapotaka kwenda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu mpuuzi ankuja na vi maneno vyake alivyotoa kwa zito kabwe eti anataka kufananisha Dar na Nairobi kisa makaratasi ya GDP [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Upuuzi gani huu, unawezaje kufananisha jiji lina BRT, lina treni ya umeme na jiji chafu Africa? Hizi c dharau hizi, jiji linashikilia record ya kuwa na slums kubwa duniani unafananisha na Dar jiji safi kweli jamani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ulitaka Magufuli avunje sheria ya bunge kwa kuwaruhusu wajawazito kusoma darasani kinyume cha sheria?
Kama chama chake kilikuwa na na nia ya kutengeneza mazingira ya kuwarudisha watoto shule Mbona sheria ingebadilika tu. Maana bungeni majority ni CCM! Ni yeye tu ndiye alikuwa na mawazo binafsi.
 
Ona bus la BRT hilo safi kabisa mtoto huyo mTz shombe shombe, hapo alikuwa anashuka mm napanda, mm niko hapo mbele nachukua picha kwa mbali unaweza kuniona ila huwezi nijua mana sionekani vzr, Wakenya ona mafanikio tuliyofikia, co nyie mpk leo mnapanda chai maarage [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG_20210417_150046_009.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom