Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya wengi akili zao ziko brainwashed na wazungu wao hudhani mzungu kwao ndio civilized wakat wale wanapoteza ulimwengu wakat kwao kisirisiri wananyoosha mambo yao
Eti turuhusu wazazi wasome Govt school si upunguani huu, hata mm mwanangu akipata mimba nitapeleka private school, tubaki humo hakuna kupepesa macho, ndio maana nlikuwa namuunga mkono the late Magu cz alikuwa straight bila kupepesa macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja mkuu.

Hii nchi lazima tuielewe vema. Lazima tuwepo wale ambao uzalendo wetu ni wa kutupwa na tusiyumbishwe kwa namna yoyote ile.

Kama Magu alijitoa sadaka ili sisi tufunguke, tutakuwa wajinga ikiwa tutakaa kimya kuona nchi inarudi gizani.

Tusiache kupeana moyo na kufunguana no matter what.

Thanks for the wishes. I wish you all the best too.
Tupo pamoja...
 
Sasa wasubiri nchi zenye jangwa 100% walete misaada na chakula kwenye failed state, nchi inaenda kopa 5km rail from france tena rais anafunga safari mpaka france kukopa loan ya 5 km railway alaf wanaongelea uchumi 🤣🤣🤣🤣
 
Oneni kitu wamejengewa hawa watu🤣🤣
Aisee miongoni mwa dalili za kiyama kenya ni miongoni
View attachment 1765148View attachment 1765149




Wenye povu zao🤣🤣🤣




ujue nn, hapo bado hakijaanza kutumika kinaonekana tayar kako congested or compressed (kimebanana).. kikianza kutumika je.. ?

baada ya mda watasema hakitoshi.. wenye akili zao wameshakula tayar mabillions in that unimpressive project..
 
ujue nn, hapo bado hakijaanza kutumika kinaonekana tayar kako congested or compressed (kimebanana).. kikianza kutumika je.. ?
Ngoja usikilize cost yake sasa ndio utachoka zaidi 😄😄😄😄
 
Screenshot_20210426-223809_1.jpg

DSM
 
Hio hotel appartment mzee usitake tukuaibishe sasa hvi 🤣🤣🤣 na mostly kilifi wamelenga tourist kwasababu ya fukwe za bahari and nothing else 😅😅 mm mwenyewe nimefika kilifi hvi kilifi kuna uchumi gani wamkenya kulipa rent ya 85 usd per night hebu ongea bila maumivu
Naona wakenya wote sikuhizi wanatoka Kilifi, bora ushapata jibu. Alafu nikuulize hivi nyie vibaraka wa mtaani hukata 85 usd per night huko kwenyu? Basi hata mmemzidi beberu, dadeki. Walilia oh Nairobi, sasa angalia Kilifi, alafu hujui lolote, tuachie sisi wenye kuyakaa maeneo hayo. Nauona uchungu, usjali. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom