Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hauna uwezo wa kushirikisha ubongo kwa hoja😂😂😂😂, a town service terminus unataka ifanane na ya mikoa?., hii ni another virsion like zile zenu za brt, just sizeable and customized for the town service function, kila siku nasema mko ovyo, yaani full mikwara kwa kila kitu Kisha mnasema hatuwapendi, tunawachukia ama sisi tuko na roho mbaya blah blah blah, but ni vile wengi wenu mnavyo jibeba ujinga left, right and centre ya mawazo yenu, mnajiletea dharau tu😅😂😂
Ona upupu alioandika huyu kilaza 🤣🤣🤣
 
oyaa.. angalieni hiki wanachokiita bus terminal [emoji23][emoji23][emoji23]
hii nchi imelaaniwa
(video)
View attachment 1765437View attachment 1765438
Bus terminals walisema kwao co kipaumbele, ss baada ya kuona Tz imeng'ara kwenye hiyo sekta ndo nao wakaona wajenge kitu ambacho hakikuwa kwenye mpango wao na ndiyo maana unaona ushuzi kama huo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wakenya kwa ss wanaangalia Tz km benchmark yao kwa kila kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
0819216F-512C-4F12-A135-4DCD3771E6B1.jpeg
EF6B9D66-C295-4D23-BA8C-57265D1B9DEB.jpeg
 
😀😀😀😀😀 ultra modern aisee aliewaroga hawa alitumia uchawi wa vitabu na sio tungule

 
Nitolee upuuzi hapa, nenda kwenye jukwaa lako la ubishani wa kipumbavu, mm co saizi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure huwezi kuwa size yangu mpuuzi mmoja wewe. Bishana na mazwazwa wenzako mnaifananisha Dar na Nairobi ni sawa na kufananisha kifo na usingizi.

Kwanza Nairobi hamjafika mnapaona kwa picha tu halafu mnaleta kende kubishana. SMH
 
Sure huwezi kuwa size yangu mpuuzi mmoja wewe. Bishana na mazwazwa wenzako mnaifananisha Dar na Nairobi ni sawa na kufananisha kifo na usingizi.

Kwanza Nairobi hamjafika mnapaona kwa picha tu halafu mnaleta kende kubishana. SMH
Ww ushawah fika nairobi ?? Au ww unaijua dar ipi ile ya 90s ama ???
 
Back
Top Bottom